MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mwanafunzi Wa Shule Ya Msingi Mbezi, Aokolewa Mikononi Mwa Mtekaji
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mwanafunzi Wa Shule Ya Msingi Mbezi, Aokolewa Mikononi Mwa Mtekaji
Habari

Mwanafunzi Wa Shule Ya Msingi Mbezi, Aokolewa Mikononi Mwa Mtekaji

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Lucy Ngowi

DAR ES SALAAM: JESHI la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, limemwokoa mwanafunzi wa Shule ya Msingi Mbezi Wilayani Ubungo, Dar es Salaam kutoka mikononi mwa mtekaji.
Kamanda Kanda Maalum ya Polisi Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema mwanafunzi huyo ( 8), wa darasa la pili Machi 6, mwaka huu 2025 alitekwa na mtuhumiwa Stanley Ulaya (18), Mkazi wa Kata ya Nguruka, Wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma.
Amesema mtuhumiwa huyo alitenda tukio hilo wakati mwanafunzi huyo aliposhuka katika daladala kabla ya kuingia katika geti la shule ndipo alipokamatwa na mtuhumiwa huyo na kumpeleka Wilaya ya Bagamoyo Pwani.
“Mtuhumiwa alikaa naye vichakani huku akitumia namba ya simu ya mzazi iliyokuwa kwenye madaftari kupiga huku akidai pesa kwa vitisho ili amuachie na asimdhuru mtoto huyo,” amesema.
Amesema jeshi hilo lilifanya kazi ya ziada ya ufuatiliaji na Jana Machi nane, majira ya saa moja usiku baada ya mtuhumiwa kukamatwa na kufikishwa Kituo cha Polisi Osterbay alijaribu kutoroka kwa kukimbia.
Amesema alipigwa risasi mguuni na kwenye paja na kufanikiwa kumzuia baada ya kutotii tahadhari za risasi zilizopigwa hewani wakati anakimbia.
“Hali yake ni mbaya na alipelekwa hospitali kwa matibabu, aidha hali ya mtoto ni njema na uchunguzi zaidi wa madaktari unaendelea,” amesema.
Amesema jeshi hilo linalaani vikali vitendo vya wizi wa watoto na aina yoyote ya utekaji na halitakuwa na huruma kwa wahusika kuwashughulikia vikali  lakini kwa mujibu wa sheria.

You Might Also Like

Umka yawashauri wakulima kutumia mbolea yake

Rais Samia Aridhia Malipo Ya Fidia Barabara Ya Afrika Mashariki

Mikataba ya Bilioni 50.9 Yasainiwa kuwezesha nishati safi ya kupikia

Miradi ya maedeleo na Huduma za afya isimamiwe kwa ukaribu

Rais Samia ashuhudia JOWUTA Ikiwa mwanachama wa  TUCTA 

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Kituo Cha Mkutano Cha Kimataifa Mlima Kilimanjaro Kuileta Dunia Tanzania
Next Article Usafirishaji Wa Mizigo SGR Mbioni Kuanza
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?