MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mwalunenge Kuunganisha Mbeya Mjini, Kusukuma Maendeleo Na Ajira Kwa Vijana
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mwalunenge Kuunganisha Mbeya Mjini, Kusukuma Maendeleo Na Ajira Kwa Vijana
Habari

Mwalunenge Kuunganisha Mbeya Mjini, Kusukuma Maendeleo Na Ajira Kwa Vijana

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi
DODOMA: MBUNGE wa Mbeya Mjini, Patrick Mwalunenge, amesema ataunganisha  Mbeya Mjini kuwa eneo moja linaloshirikiana.
Amesema hayo leo Novemba 12, 2025 katika Viwanja vya Bunge jijini Dodoma.
Amesema maendeleo ya haraka yatawezekana iwapo wananchi watashirikiana kikamilifu.
Habari Picha 10282
“Muda wangu wa miaka mitano jimbo la Mbeya Mjini ni kusaidia wananchi kupata kipato. Miradi yote haiwezi kufanikishwa bila amani,” amesema Mwalulenge, akiwahimiza vijana kulinda utulivu wa jimbo hilo.
Mbunge amesema ajira kwa vijana na kufanya Mbeya kitovu cha uchumi ni sehemu ya ahadi zake ambazo anataka kuhakikisha zinafanikiwa.
Amesema kila hatua ya maendeleo ni kazi ya pamoja kati ya wananchi na viongozi.
Mwalunenge amedokeza kuwa anatarajia kushirikiana na Waziri Mkuu atakayethibitishwa pamoja na Rais Samia Suluhu Hassan ili kuhakikisha miradi yote inatekelezwa kwa ufanisi.
Amesisitiza kuwa Mbeya mpya inahitaji mshikamano wa wananchi, viongozi na wadau wengine.

You Might Also Like

Usekelege: Kati ya Migogoro Tunayoipokea Ipo ya Wafanyakazi Majumbani

Profesa Nombo Atembelea Banda la UDSM, 88 Dodoma

PURA Yajivunia Agenda Ya Matumizi Ya Nishati Safi

CHAUMMA Yalia na Umaskini Katikati ya Utajiri wa Dhahabu

Umka yawashauri wakulima kutumia mbolea yake

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mbunge Ulanga Aweka Mikakati Kuufungua Mkoa wa Morogoro Kimaendeleo
Next Article Mwigulu: Wavivu, Wazembe, Wala Rushwa Serikalini Jiandaeni Na Fyekeo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Vitabu Vya Sauti Kuvutia Vijana, Serikali Yapongeza Ubunifu Wa Mkuki Na Nyota
Habari November 22, 2025
Ubora Wa E & D Vision Publishing Wamkuna Waziri Kabudi Maonyesho Ya Vitabu Dar
Habari November 22, 2025
Kabudi: Vitabu Ni Tiba, Atoa Wito Kuimarisha Maktaba, Uchapaji 
Habari November 22, 2025
Kwagila Awataka Wasimamizi Wa Elimu TAMISEMI Kuwajibika Kikamilifu
Habari November 21, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?