MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: MWALIM: Njaa na Ukosefu wa Ajira Ni Matokeo ya Uongozi wa CCM
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > MWALIM: Njaa na Ukosefu wa Ajira Ni Matokeo ya Uongozi wa CCM
Habari

MWALIM: Njaa na Ukosefu wa Ajira Ni Matokeo ya Uongozi wa CCM

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Mwandishi Wetu
MOROGOEO: MGOMBEA urais kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalim, amesema njaa na tatizo la ajira vitaendelea kuiumiza nchi endapo wananchi hawataachana na Chama cha Mapinduzi (CCM).
Akizungumza na wananchi wa Morogoro Mjini Oktoba 20, 2025, Mwalim amewataka Watanzania wasicheke na CCM bali wachukue maamuzi sahihi ili wanufaike na rasilimali zao.
“Uchumi wa nchi unaangalia cooperative advantage ili kukua kiuchumi kama ilivyo China. Kwanini? Kwa sababu uzalishaji wao ni rahisi kwa kutumia teknolojia,” amesema.
Ameongeza kuwa China ndiyo inayotengeneza bidhaa za nchi kama Marekani, Ujerumani na Tanzania, kutokana na kuwekeza kwenye teknolojia.
Habari Picha 10118
Mwalim amesema Tanzania imejaliwa kila kitu madini, ardhi yenye rutuba na maji ya kutosha lakini bado wananchi wake wanaishi katika umasikini.
“Leo madini ya Tanzanite yanapatikana Tanzania, lakini ukienda Ulaya unaambiwa yanatoka Kenya… hizi ndiyo akili za CCM,” amesema.
Amedai kuwa Watanzania wanaendelea kukosa ajira huku Wakenya wakinufaika na kilimo na mazao yanayotoka Tanzania.
Aidha, amejigamba kuwa hakuna mgombea mwingine aliyesafiri kilometa nyingi zaidi yake katika kipindi cha kampeni, akibainisha kuwa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) ilimkabidhi gari lililotembea kilometa 500, lakini hadi sasa limefika zaidi ya kilometa 10,000.

You Might Also Like

Rafiki Planter’Teknolojia Rahisi, Tija Kubwa”

NSSF Kutekeleza Mradi Wa Uwekezaji Wa Jengo La Kitega Uchumi Dodoma

Umka yawashauri wakulima kutumia mbolea yake

DCF Atembelea Banda Wizara Mambo YA Nje, Atoa Pongezi

Aloe Dorotheae, Mmea Unaopatikana Tanzania Pekee

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article UDSM Yapiga Hatua Kubwa Kuboresha Miundombinu na Mitaala kwa Mradi wa HEET
Next Article Mwalim Ahaidi Kubadilisha Dodoma Kuwa Jiji Kamili La Makao Makuu
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

TTCL  Yatumia Tamasha La Kizimkazi Kueleza  Wananchi Fursa Wanazotoa
Makala August 15, 2026
Rais Samia Afurahishwa Na Huduma za NSSF
Habari August 13, 2026
  VETA Yashiriki Tamasha La Kizimkazi
Habari August 13, 2026
Vijana Watakiwa Kuanza Utekelezaji Wa Mipango Waliyonayo
Habari August 12, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?