MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mwalim Ahaidi Kubadilisha Dodoma Kuwa Jiji Kamili La Makao Makuu
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mwalim Ahaidi Kubadilisha Dodoma Kuwa Jiji Kamili La Makao Makuu
Habari

Mwalim Ahaidi Kubadilisha Dodoma Kuwa Jiji Kamili La Makao Makuu

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Mwandishi Wetu
DODOMA:  MGOMBEA urais kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalim, amesema atabadilisha hadhi ya Mkoa wa Dodoma kuwa Jiji lenye Makao Makuu ya nchi.
Mwalim ametoa kauli hiyo jimboni Mvumi wakati akiendelea na mikutano ya kampeni, akisisitiza kuwa makao makuu ya nchi yanapaswa kuwa na barabara za lami na majengo ya kisasa.
Habari Picha 10122
“Sitaki kuona vumbi ndani ya Mkoa wa Dodoma… hapa patakuwa na hadhi ya jiji, nendeni mkatuamini na kutuchagua,” amesema.
Amebainisha kuwa barabara hizo zitafika hadi mashamba ya zabibu ili kurahisisha usafirishaji wa mazao kwenda viwandani kwa ajili ya uchakataji.
Katika hatua nyingine, Mwalim amesema sera ya CHAUMMA ni kuwarejeshea wananchi ardhi yao iliyochukuliwa na serikali kwa kuongezwa kama hifadhi au vinginevyo.
“Wananchi wote walionyangan’ywa maeneo ya pembezoni mwa hifadhi tutawarejeshea,” amesema.

You Might Also Like

Vitabu Vya Sauti Kuvutia Vijana, Serikali Yapongeza Ubunifu Wa Mkuki Na Nyota

Serikali Yaongeza Bajeti Mfuko Wa Utamaduni Na Sanaa

USCAF Yawapatia Mafunzo Ya TEHAMA Walimu 1585

Tanzania Na Africa50 Wazidi Kuimarisha Ushirikiano

Hotuba ya Rais Samia Yachochea Miradi Mikubwa ya Viwanda na Bandari Bagamoyo – Mgalu

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article MWALIM: Njaa na Ukosefu wa Ajira Ni Matokeo ya Uongozi wa CCM
Next Article TUGHE Yatoa Wito Kwa Wafanyakazi Kujitokeza Kupiga Kura
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Tanzania Yajikita Katika Ushirikiano wa Kikanda Kuhusu Maji
Habari March 25, 2026
TPHPA Yazidisha Ulinzi wa Mazao, Kudhibiti Magonjwa ya Viazi, Funza Weupe
Habari March 25, 2026
Katibu Mkuu Mwajuma Atunukiwa Tuzo, Ahimiza Mshikamano Sekta ya Maji
Habari March 24, 2026
Dkt. Nchimbi Azindua Mfumo Mpya wa Utabiri wa Kiasi cha Maji Morogoro
Habari March 23, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?