MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Muswada wa Kuwalinda Wafanyakazi wa Ndani Waja
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Muswada wa Kuwalinda Wafanyakazi wa Ndani Waja
Habari

Muswada wa Kuwalinda Wafanyakazi wa Ndani Waja

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi
DODOMA: WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Ridhiwani Kikwete, amesema serikali ipo katika hatua za mwisho za kuupeleka muswada wa wafanyakazi wa ndani, katika bunge linalokuja.
Ridhiwan amesema hayo  Ofisini kwake alipotembelewa na  Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakaz Tanzaniai ( TUCTA), Tumaini Nyamhokya, Mhariri Mkuu wa Gazeti la MFANYAKAZI  Shani Kibwasali pamoja na waandishi wa gazeti hilo.
Amesema, ” Katika moja ya jambo kubwa tunaenda kulifanya kisasa ni juu ya maisha ya mtumishi wa ndani.
“Kwamba unajua sasa hivi mimi nikikuchukua ukafanya kazi kwangu za ndani, utaishi ninavyotaka mimi, bila kujali pia mfanyakazi huyu wa ndani ana haki zake kama binadamu.
Ridhiwan  Kikwete ameeleza inafikia sehemu wafanyakazi wa ndani, wanashindwa kuwaeleza waajiri wao kwamba wamepata mchumba kwa kuwa wakisema wanaogopa watafukuzwa kazi.
Amesema muswada huo ukipitishwa utawapa hadhi wafanyakazi wa ndani kwani watafanya kazi na kuishi kama wafanyakazi wa makundi mengine nchini.

You Might Also Like

Tari Ilonga yaboresha mbegu, mavuno yapanda hadi tani 3.8 kwa hekta

Kongamano la Kahawa Bora Afrika kufanyika Tanzania Februari mwakani

RC Chalamila, Wasaidizi Wake Kukutana na Kadogosa Kuzungumzia Ujenzi Wa Reli Dar

 Rais Samia aipongeza REA

China Inaongoza Sekta ya Miundombinu na Ujenzi Tanzania

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Muswada kuja wa Watumishi Wanaofanya Kazi Eneo Zaidi ya Moja Kuanza kuchangiwa na Waajiri Wote
Next Article Mfanyakazi Ana Wajibu Kupeleka Taarifa za Madai
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

CAG Aipongeza TARURA Kwa Ujenzi Wa Miundombinu
Habari January 9, 2026
Tuna Deni La Kusimamia Miradi Na Kusikiliza Kero za wananchi Ili Kuleta Maendeleo Ya Kweli-Salome
Habari January 9, 2026
Rais Dkt Samia Azindua Majengo Ya Kisasa
Habari January 8, 2026
TEA, UNICEF Watekeleza Miradi ya Elimu Visawani Zanzibar
Habari January 8, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?