MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mtego wa Inzi Wa Matunda Suluhisho Salama kwa Wakulima
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mtego wa Inzi Wa Matunda Suluhisho Salama kwa Wakulima
Habari

Mtego wa Inzi Wa Matunda Suluhisho Salama kwa Wakulima

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
DODOMA: MTEGO wa inzi wa matunda ni moja ya teknolojia mpya inayotumika kudhibiti visumbufu vya mimea kwa njia ya kibiolojia bila kutumia viuatilifu vyenye sumu.
Kaimu Mkuu wa Kituo cha Kitaifa cha Kudhibiti Visumbufu vya Mimea kwa Njia ya Kibiolojia kilichopo Kibaha, Pwani, David Mwamanda amesema hayo katika maonesho ya Kitaifa yanayoendelea Jijini Dodoma.
Mwamanda amesema kituo hicho kimeanzishwa kwa lengo la kupunguza matumizi makubwa ya viuatilifu vyenye sumu kwa kutumia teknolojia rafiki na sahihi ili kulinda afya ya mlaji, afya ya mzalishaji, kutunza mazingira na kuhimili ushindani wa soko la kimataifa.
Amesema kuwa mbinu shirikishi zinazotumika kudhibiti visumbufu kwa njia ya kibaolojia huzalisha mazao ambayo yako huru dhidi ya viuatilifu vyenye sumu, hivyo bidhaa zake huwa za bei ya juu ukilinganisha na mazao yaliyozalishwa kwa kutumia viuatilifu vya sumu.
“Aina mojawapo ya teknolojia hiyo ni mtego wa inzi wa matunda. Teknolojia hiyo inafanya kazi kwa kuvutia mdudu kutokana na rangi ya mtego.
“Ndani ya mtego kuna kichocheo kilichowekwa kwa ajili ya kumvutia inzi dume wa matunda. Inzi dume akiingia ndani ya mtego akifikiria anakutana na inzi jike, lakini kuna aina ya sumu imewekwa, hivyo akiingia anakufa.
“Inzi dume akifa, uzalishaji wa inzi wa matunda unapungua kwa sababu hawakutani na inzi jike. Hivyo, teknolojia hiyo itawezesha matunda kama maembe, machungwa, maboga na mengineyo kukua na kukomaa kwa njia salama na ya uhakika bila kutumia viuatilifu vyenye sumu,” amesema.
Kituo hicho kinasimamia ubora wa viuatilifu hai na wadudu rafiki waliosajiliwa nchini.
Pia kinatoa mafunzo kwa wakulima, wataalam wa ugani na wadau wa kilimo kuhusu udhibiti wa visumbufu kwa njia ya kibiolojia.

You Might Also Like

VIONGOZI WA DINI WAONYA: ‘TUMIENI BUSARA, LINDENI AMANI WAKATI WA UCHAGUZI’

Waziri Mkuu Apongeza Huduma Kidijitali za NSSF, Maonesho Ya Madini Geita

DC Twange Apongeza Wananchi Kuchangia Maendeleo 

Watumishi wa Umma wafahamu haki ya rufaa Kwa mujibu wa sheria

Tanzania yajipanga kutumia nishati ya nyuklia kuzalisha umeme

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mafua, Kifua Yadaiwa Kusababisha Kifo cha Job Ndugai
Next Article Mbegu Bora za Mpunga Zazalishwa TARI Dakawa, Ifakara
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Vitabu Vya Sauti Kuvutia Vijana, Serikali Yapongeza Ubunifu Wa Mkuki Na Nyota
Habari November 22, 2025
Ubora Wa E & D Vision Publishing Wamkuna Waziri Kabudi Maonyesho Ya Vitabu Dar
Habari November 22, 2025
Kabudi: Vitabu Ni Tiba, Atoa Wito Kuimarisha Maktaba, Uchapaji 
Habari November 22, 2025
Kwagila Awataka Wasimamizi Wa Elimu TAMISEMI Kuwajibika Kikamilifu
Habari November 21, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?