MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Msisubiri Kupewa Amri, Ufanyaji Usafi Kwenye Maeneo Yenu – Lugendo
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Msisubiri Kupewa Amri, Ufanyaji Usafi Kwenye Maeneo Yenu – Lugendo
Habari

Msisubiri Kupewa Amri, Ufanyaji Usafi Kwenye Maeneo Yenu – Lugendo

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Danson Kaijage
DODOMA: WANANCHI wametakiwa kutoa kipaumbele katika suala zima la usafi, na kuufanya kuwa sehemu ya maisha yao badala ya kusubiri kupewa amri ya kuufanya.
Ofisa afya wa Jiji la Dodoma, John Lugendo amesema hayo alipozungumza na wananchi wa Kata ya Ipagala Jijini Dodoma kuhusu umuhimu wa kufanya usafi na utunzaji wa mazingira.
Lugendo amesema usafi na utunzaji wa mazingira iwe sehemu ya maisha ya mtu mmoja mmoja na jamii kwa ujumla, ni sehemu ya maisha badala ya kusubiri kuanza kusukumana na watendaji wa Serikali.
Amesema  iwapo wazazi au walezi watazingatoa kutoa elimu kwa watoto wao juu ya umuhimu wa kufanya usafi na kutunza mazingira ipasavyo hakuna familia ambayo itasukumwa na watendaji wa serikali juu ya kufanya usafi majumbani au mitaani.
“Jamii inatakiwa kutambua wazi kuwa usafi ni maisha na usafi lazima uanzie nyumbani kwako wewe na familia yako bila kuwa na usafi thabiti hakuna afya thabiti na kama hakuna afya thabiti hakuna uchumi imara.
“Ni wajibu wetu kuhakikisha tunafanya usafi wa mazingira na usafi wa mwili maana yafaa nini kuonekana umeulamba wakati unakotoka ni pa ovyo na panaweza kukusababishia maradhi ya milipuko,”.
Amewaelekeza watendaji wa mitaa kuhakikisha wanachukuliwa hatua watu wote ambao hawajitokezi kushiriki usafi wa mazingira kwa maelezo kuwa sheria zipo zinazowataka watu wote kufanya usafi na kuhakikisha mazingira yao ni safi na salama.
Kwa baadhi ya washiriki wa usafi katika Kata ya Ipagala wameeleza jinsi wanavyojivunia kufanya usafi katika maeneo yao huku wakisema usafi unaongeza thamani ya maeneo.

You Might Also Like

Wahifadhi Saohill Wapongezwa

Profesa Kabudi Atoa Maagizo Mazito Bodi Ya Ithibati Ya Waandishi Wa Habari

Kilimo Shadidi Kinapunguza Uzalishaji Wa Gesi

Chalamila Akabidhi milioni 100, saruji Kukamilisha Zahanati

Mfumo Uendeshaji Mashauri Kidigitali Kwa Watumishi wa Umma Uharakishwe

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Akili Bandia Yachochea Ushirikiano Kati Ya China, Afrika
Next Article Uongozi CHADEMA Kanda Ya Kati Upo Imara
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Singida Yapokea Zaidi Ya Milioni  Moja 
Habari July 5, 2025
THBUB Mdau Mkubwa Utekelezaji Wa Majukumu 
Habari July 5, 2025
NBS: Utumiaji Wa Takwimu Nyenzo Muhimu Kwa Mama Lishe
Habari July 5, 2025
FCC Yatoa Elimu Ya Ushindani Wa Kibiashara Katika Maonesho Ya  Biashara
Habari July 5, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?