MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Msigwa Awataka Wakuu Wa Mikoa Kuandaa Maeneo Ya Upandaji Miti
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Msigwa Awataka Wakuu Wa Mikoa Kuandaa Maeneo Ya Upandaji Miti
Habari

Msigwa Awataka Wakuu Wa Mikoa Kuandaa Maeneo Ya Upandaji Miti

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu – MAELEZO Zanzibar
ZANZIBAR: KATIBU  Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amewaomba Wakuu wa Mikoa ambao  itafanyika mikutano ya Maofisa Habari  kuandaa maeneo kwa ajili ya shughuli ya  upandaji miti.
Lengo likiwa kuunga mkono ajenda  ya kitaifa ya uhifadhi wa mazingira.
Msigwa amesema hayo leo Aprili 05, 2025, wakati akiongoza maofisa habari wa Serikali kupanda miti 2000 katika msitu wa Jambiani Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar, ulioshuhudiwa pia na Mkuu wa Mkoa huo,. Ayoub Mohammed Mahamoud.
Amesema maofisa hao watakuwa  sehemu ya upandaji miti hiyo kwa ajili  ya utunzaji na uhifadhi wa mazingira ikiwa ni ishara ya kuunga mkono juhudi za Serikali za kutunza, kuhifadhi mazingira na kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia.
“Sisi kama maofisa habari wa Serikali nchini ni lazima tuwe sehemu ya kutengeneza nchi ya kijani na hilo litawezekana kwa kushiriki katika zoezi la upandaji miti katika maeneo mbalimbali nchini” amesema.
Ameeleza upandaji miti huo utakuwa endelevu ili kuunga mkono kwa vitendo jitihada  za kutunza na kuhifadhi mazingira na kuifanya Tanzania kuwa ya kijani.
Maofisa Habari hao wa Serikali wapo visiwani Zanzibar kushiriki Kikao Kazi cha 20 cha siku nne kilichoanza Aprili tatu, 2025 ambacho kinatarajiwa kuhitimishwa Aprili sita, 2025.

You Might Also Like

Wakulima Wa Mahindi Mvomero Walia Na Viwavijeshi Vamizi, Watafiti SUA kupitia Mradi Wa AGRISPARK Kuokoa Jahazi

Dkt. Komba: Mfumo wa kidijitali utaleta tija kwa mkulima

TASAC yahadharisha wavuvi, wasafirishaji majini kuhusu upepo mkali

BRT Kuimarisha Uhusiano Tanzania, China

Kampuni ya Kichina CCCC yatoa msaada wa vitabu UDSM

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Rais Samia Azindua Makao Makuu Ya Mahakama Tanzania
Next Article Waziri Mkuu Majaliwa Kuongoza Harambee Ya Mei Mosi Kitaifa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?