MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mkongo Wa Mawasiliano Unalenga Kuleta Tija Kwa Wananchi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mkongo Wa Mawasiliano Unalenga Kuleta Tija Kwa Wananchi
Habari

Mkongo Wa Mawasiliano Unalenga Kuleta Tija Kwa Wananchi

Author
By Author
Share
3 Min Read
Na Mwandishi Wetu
ARUSHA :: WAZIRI wa Habari,Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Jerry Silaa amesema  Serikali imeendelea kuwekeza kwenye Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano- NICTBB ili kufanikisha ujenzi wa miundombinu ya mawasiliano endelevu.
Amesema miundombinu hiyo iwe yenye kuleta tija kwa  wananchi katika kupata huduma za intaneti kwa bei nafuu, zenye ubora wa juu na kuaminika.
Kauli hiyo ameitoa jijini Arusha  wakati akifungua Mkutano wa Kimataifa wa Mawasiliano na TEHAMA  “Connect to Connect Summit 2024”.
 Amesema wadau wa sekta ya TEHAMA na Mawasiliano wanatakiwa kuiunganisha Afrika kwenye miundombinu ya mawasiliano ili kuchochea ukuaji wa  ujenzi wa uchumi wa kidijitali barani Afrika utakaosaidia katika kuleta maendeleo kwa wananchi.
” Tuendelee kuimarisha ushirikiano wetu uliopo kama wadau wa sekta ili kufanikisha utekelezaji wa mikakati pamoja ya kuunganisha Afrika na kujenga uchumi wa kidijitali kwa nchi zetu…”Amesema  Silaa.
Katika kuhakikisha  Afrika inaungwa kwenye miundombinu ya mawasiliano,  Mkurugenzi wa Ufundi wa Shirila  la Mawasiliano Tanzania (TTCL)  Cecil Francis kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa Shirika hilo amesema kuwa Shirika limefanikiwa kuunga nchi zabalbali za Afrika.
Amesema tayari  Jumuiya ya Afrika Mashariki ( EAC) na Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika ( SADC)  zimeungwa kwenye Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano ili kuwezesha nchi wanachama kukuza matumizi ya TEHAMA na kurahisisha shughuli za maendeleo.
“Hivi sasa tunaendelea na juhudi za kuunganisha nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo  kwenye Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano kupitia ziwa Tanganyika Mkoani Kigoma hadi katika jimbo la Kalemie,” amesema hatua hiyo   itasaidia kukuza ushiriakiano na Kikanda katika kuchochea ukuaji wa maendeleo.
Katika kuuganisha Tanzania .Cecil amesema kuwa Shirika limeendelea na juhudi za kuboresha miundombinu ya mawasiliano pamoja na kuunganisha zaidi ya Wilaya 100 kati ya 139 katika Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano ili kuchochea kasi ya ujenzi wa Tanzania ya Kidigitali.
TTCL imedhamini huduma ya intaneti kwenye Mkutano huo ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mkakati wa Shirika katika kutoa huduma ya Intaneti kwenye Mikutano ya Kimataifa na Kitaifa, ambayo imekuwa chachu ya kuwezesha washiriki kuendelea kufanya shughuli zao kidigitali.
Mkutano wa Connect to Connect 2024 unafanyika kwa muda wa siku mbili kuanzia  Septemba 18-19 2024  ambapo unakutanisha wadau mbalimbali kutoka zaidi ya nchi 20 kwa ajili ya kujadili kwa kina ukuaji wa sekta ya TEHAMA na Mawasiliano na umuhimu wa kuunganisha Afrika kwenye miundombinu ya mawasiliano.

You Might Also Like

Rais CWT Asikitishwa Na Uzembe, Maofisa Wa Halmashauri

Tanzania yajipanga kutumia nishati ya nyuklia kuzalisha umeme

Wajumbe IPA Zanzibar Wafanya Ziara TEA

Chuo Cha VETA Chazindua Mradi Wa Biogas

Watanzania Watakiwa Kuachana Na Dhana Potofu Kuwa Nishati Safi Ya Kupikia Ni Gharama

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Masoko mapya nje ya nchi kuipatia nchi sh. trilioni 10
Next Article Yonaz akabidhi boti ya doria kukabili vitendo vya kiuhalifu
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Tume ya Kurekebisha Sheria Yaelimisha Umma Kuhusu Haki za Wanyama
Habari August 6, 2025
Bundi Wasaidia Kupambana na Panya: Teknolojia Asilia Inayobadili Maisha ya Wakulima
Habari August 6, 2025
Ofisa wa TARI Kuwapo Kila Kituo cha Umwagiliaji – Naibu Katibu Mkuu
Habari August 6, 2025
Mbinu Mpya za Kilimo kwa Vijana Zapata Umaarufu Nanenane Banda La VETA
Habari August 6, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?