MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Miradi Dodoma Yamkuna Rais Samia
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Miradi Dodoma Yamkuna Rais Samia
Habari

Miradi Dodoma Yamkuna Rais Samia

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Danson Kaijage
DODOMA: RAIS Samia Suluhu Hassan amesema  Jiji la Dodoma kwa sasa litakuwa jiji la kitalii, ikiwa ni pamoja na kuongeza kipato cha mtu moja mmoja kutokana na fursa zinazoendelea.
Samia amesema hayo alipowahutubia  wananchi wa jiji la Dodoma na viunga vyake katika eneo la Nala muda mfupi baada ya kumaliza ukaguzi wa ujenzoi wa barabara ya mzunguko wa nje na uwanja wa ndege wa msalato ambao ni uwanja mkubwa na wa kisasa.
Kabla ya kuhutubia wananchi hao, Samia  na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Dkt. Akinwumi Adesina, walifanya ukaguzi wa miradi hiyo na kuridhishwa na kuridhishwa nayo.
Hivyo Rais Samia ameziagiza Wizara  ya ujenzi na ya Uchukuzi kuhakikisha kazi za ujenzi  na ukarabati wa miundombinu  ya barabara, reli na viwanja vya ndege zinatekelezwa kwa viwango vinavyotakiwa.
Pia ameagiza kupandwa mazao mbalimbali ikiwemo zabibu ili kuendeleza asili ya maeneo hayo.
Kuhusu gharama amesema, barabara  ya mzunguko wa nje ya Jiji la Dodoma imetumika Sh. Bilioni 489.892 ambapo serikali imechangia asilimia 15 katika fedha hizo.
Kwa upande wa ujenzi wa  uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Msalato, umegharimu  Sh. Bilioni 370 hadi kukamilika kwake ukiwa na uwezo wa kubeba abiria milioni 1.5 kwa mwaka ikiwa ni  kiwango Cha kitaifa cha daraja la 4F
Samia ameridhia ombi lililotolewa na Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega lakutaka barabara ya mzunguko wa nje ya jiji la Dodoma, kuitwa jina la Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika, Akinwumi Adeshina.
Kwa upande wake Waziri wa ujenzi,  Ulega amesema barabara ya mzunguko ya nje ya jiji la Dodoma aliyoikagua Rais Samia  itaepusha foleni katikati ya jiji na kurahisisha huduma mbalimbali ikiwemo kusafirisha mazao.
Naye Dkt. Adesina ameeleza bayana kwamba Dodoma sasa ni mji wa kivutio barani Afrika.
Juzi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam  (UDSM), kilimtunuku Dkt. Adesina Shahada ya Heshima ya Sayansi kutokana na benki hiyo kutoa mchango mkubwa kwa jamii na taifa nchini Tanzania.

You Might Also Like

Dkt. Komba: Mfumo wa kidijitali utaleta tija kwa mkulima

Unywaji Maziwa Shuleni Kuongeza Ufaulu, Kuboresha Afya – RAS Geita

Rais Samia atoa zaidi ya bil. 2.1 usimikaji wa mifumo, uendeshaji mashauri ya wafanyakazi

Waziri Sangu Aagiza Hatua Kali kwa Waajiri Wanaokwepa Kuwasilisha Michango NSSF

BOT Yatoa Elimu ya Uwekezaji, Fedha Kwa Wananchi Maonyesho ya Madini Geita

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article UDSM Yamtunuku Rais AfDB Shahada Ya Heshima Ya Sayansi
Next Article Mfumo Wa KieletronikiWa Albino Kurahisisha Kuwatambua – Ridhiwani
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

CAG Aipongeza TARURA Kwa Ujenzi Wa Miundombinu
Habari January 9, 2026
Tuna Deni La Kusimamia Miradi Na Kusikiliza Kero za wananchi Ili Kuleta Maendeleo Ya Kweli-Salome
Habari January 9, 2026
Rais Dkt Samia Azindua Majengo Ya Kisasa
Habari January 8, 2026
TEA, UNICEF Watekeleza Miradi ya Elimu Visawani Zanzibar
Habari January 8, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?