MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Midea Group Yafungua Duka Mlimani City Dar Es Salaam
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Midea Group Yafungua Duka Mlimani City Dar Es Salaam
Habari

Midea Group Yafungua Duka Mlimani City Dar Es Salaam

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Lucy Ngowi

DAR ES SALAAM: DUKA Jipya la kwanza la Midea Group Afrika Mashariki limefunguliwa eneo la Mlimani City, Dar es Salaam.

Rais wa Midea MEA, Scott Fu amefungua duka hilo lenye Mita za Mraba 240.

Scott Fu amesema duka alilolifungua lina vifaa vyenye teknolojia inayotumia umeme mdogo ambavyo ni viyoyozi, friji, mashine za kuoshea, vifaa vya jikoni, vifaa vya nyumbani pamoja na bidhaa nyingine.

Amesema katika kuendeleza teknolojia mpya ya kasi ya 5G ulimwenguni, wanahitajika kubuni bidhaa nzuri na rafiki.

Pia amesema Midea Group itatoa mafunzo kwa wahandissi w kiufundi wa ndani zaidi ya 500 kwa miaka mitatu ijayo, ili kutoa fursa za ajira ikiwa ni pamoja na kukuza maendeleo ya kiuchumi Kikanda.

Amesema Midea Group imeshinda changamoto za masoko, “Midea Group kama Mchezaji bora katika Soko la Ushindani chini ya Uongozi wangu na Juhudi za pamoja na timu yangu, sehemu ya nje ya Midea imeongezeka kwa Mafanikio kutoka asilimia 24 hadi 29 na kiwango kimezidi bilioni 30 “.

Naye Ofisa Masoko wa kampuni hiyo, Miriam Zabron amesema ni furaha kubwa kwa kampuni hiyo kufungua duka eneo la Mlimani City.

Amesema wanakaribisha wananchi kuona bidhaa zilizopo na uzuri wake.

” Sisi ni namba moja kwa matumizi ya teknolojia. Tupo vizuri katika matumizi ya umeme mdogo na uimara wa bidhaa.

“Bidhaa zetu zinahimiki hata pale umeme unapoleta shida, tuna kiyoyozi kinachotumia umeme mdogo, ” amesema.

Amesema wana teknolojia tofauti tofauti, watanzania na dunia itafurahi kutumia umeme mdogo.

“Tunapunguza matumizi ya umeeme kwa kiasi kikubwa,” amesema.

You Might Also Like

Rais Samia Awatega Wateule Wake

Tanzania, Uingereza Kushirikiana Kuendeleza madini.

Ujenzi Jengo la Sayansi, Teknolojia, Ubunifu Kuanza Kesho Dodoma

Wananchi Wachukue Hatua Iwapo Hawajaridhika Na Huduma-TCF

Kasulu Yatoa Mafunzo Utumiaji wa Mfumo Wa Kieletroniki Kwa Wakuu wa Divisheni, Vitengo

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Sheikh Akemea Wanawake,Wanaume Wanaovaa Vibaya 
Next Article Tuwaombe Rais Samia, Mwinyi – Sheikh Swed
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?