MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Miaka 30 YA TUGHE Yenye Mafanikio
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Miaka 30 YA TUGHE Yenye Mafanikio
Habari

Miaka 30 YA TUGHE Yenye Mafanikio

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
PWANI: CHAMA cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania ( TUGHE), kimetimiza miaka 30 toka kilipoanzishwa na mafanikio lukuki.
Katibu Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania (TUGHE), Hery Mkunda amesema hayo alipozungumza na Mfanyakazi Tanzania.
Mkunda ambaye pia ni Mwenyekiti wa Vyama vya Wafanyakazi Afrika Mashariki na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Duniani, ameyataja mafanikio hayo kuwa ni pamoja na kutengeneza kanzidata ya kutambua idadi ya wanachama wao.
“Tumeweza kujua mwanachama gani yupo wapi, kila mwezi tunaweza kujua nani amechangia kiasi gani, lakini tunaweza kujua nani ameingia, nani ametoka kwa mwezi,” amesema.
Mafanikio mengine ni kuwaingiza wanachama takribani 15,000 kutokana na malengo waliojiwekea.
“Pia tumeboresha utendaji kazi wetu. Kama chama tuna mpango kazi tunaufanyia kazi, tumeweza kuutekeleza kwa zaidi ya asilimia 90. Haya kwetu ni mafanikio,” amesema.
Awali amesema jukumu lao kubwa ni kulinda haki na maslahi ya wafanyakazi, ikiwa ni pamoja na kuwaunganisha wafanyakazi na mwajiri ili kuweka mazingira rafiki sehemu za kazi.
“Chama cha wafanyakazi kinafanya kazi kama daraja kuwaunganisha mwajiri na wafanyakazi ili mwajiri apate haki yake na atimize malengo yake ambayo yeye mwenyewe hawezi kuyafanya bila kushirikiana na wafanyakazi.
“Lakini pia na wafanyakazi waweze kupata mkate wao kwa nguvu ambazo wanakuwa wamemuuzia mwajiri,” amesema.
Amesema katika kufanikisha hili, chama jukumu lake ni kutoa elimu inayoonyesha mahusiano kati yao na mwajiri, ikiwa ni pamoja na kutimiza majukumu yao.

You Might Also Like

UDOM yashauri matumizi ya green house kupata tija

Kuelekea Uchaguzi Mkuu, Waandishi Watakiwa Kuandika Kwa Usahihi

Gridi Ya Taifa Ni Dhaifu Kwa Mikoa Ya Kaskazini-Mramba

TUCTA Yaanza Maandalizi Ya Mei Mosi

Rais Samia awasili China kushiriki mkutano wa FOCAC

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Februari Mwaka Huu Wafanyabiashara Kariakoo Kurejea, Wenye Madeni Waagizwa Kulipa
Next Article Mkunda: Tumekusudia Kuongeza Wanachama, Tuwe Na Sauti Kubwa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?