MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mgombea Urais CHAUMMA Asema Nchi Inahitaji Mawazo Mapya
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mgombea Urais CHAUMMA Asema Nchi Inahitaji Mawazo Mapya
Habari

Mgombea Urais CHAUMMA Asema Nchi Inahitaji Mawazo Mapya

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
KIGOMA: MGOMBEA urais kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalim, amesema Tanzania inahitaji mabadiliko ya kweli na uongozi wenye mawazo mapya ili kuokoa uchumi wa taifa ambao, kwa maoni yake, umeharibiwa.
Akihutubia wakazi wa Nguruka, Kigoma Kusini, Mwalim amesema licha ya nchi kuwa na utajiri mkubwa wa rasilimali, maendeleo yamekuwa ya kusuasua, hasa katika mikoa kama Kigoma.
Habari Picha 9473
“Miaka 64 tangu tupate uhuru ndiyo Kigoma mnaiona lami kwa mara ya kwanza, katika nchi hii iliyojaa madini na ardhi ya kutosha kwa kilimo cha kila aina,” amesema.
Mwalim ametoa mfano wa Kenya, akieleza kuwa mafanikio ya uchumi wa nchi hiyo yanatokana na kuthamini elimu na kutumia rasilimali kwa tija.
Habari Picha 9474
Akijibu hoja ya umri katika uongozi, Mwalim amewataka vijana kutokukatishwa tamaa kwa hoja hiyo, akimtoa mfano wa Mwalimu Julius Nyerere.
“Urais siyo suala la umri. Mwalimu Nyerere aliongoza taifa hili akiwa kijana na ndiye alikuwa rais mwenye umri mdogo kuliko wote waliowahi kuliongoza taifa hili,” amesisitiza.
Amewataka wananchi, hususan vijana, kumpa nafasi ili kuonyesha namna ambavyo kizazi kipya kinaweza kuleta mageuzi.
“Chagueni CHAUMMA. Huu ndiyo wakati wa kujipima na kuamua tunaipeleka wapi nchi yetu. Nipimeni kwa dhamira yangu, siyo maneno tu, maana kizazi cha sasa si kizazi cha zamani,” alisema.

You Might Also Like

JMAT Yatoa Neno Yanayoendelea Kwa Vijana Wa Kenya

TDB Yaheshimisha Tasnia Ya Maziwa

Rais Samia Afungua Barabara Ya Mbinga-Mbamba Bay Yenye Km 66-Ruvuma

TUCTA: Vijana Ni Nguvu Kazi Ya Taifa, Watumie Fursa Kujijenga

VETA Dodoma Waleta Mashine Kurahisishia Upekechuaji Wa Alzeti

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Zaidi Ya Wanachama 800 Wa TUGHE Watembelea Hifadhi Ya Mlima Kilimanjaro
Next Article Dkt. Biteko Aahidi Kuendeleza Miradi Mikubwa Bugelenga
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Vitabu Vya Sauti Kuvutia Vijana, Serikali Yapongeza Ubunifu Wa Mkuki Na Nyota
Habari November 22, 2025
Ubora Wa E & D Vision Publishing Wamkuna Waziri Kabudi Maonyesho Ya Vitabu Dar
Habari November 22, 2025
Kabudi: Vitabu Ni Tiba, Atoa Wito Kuimarisha Maktaba, Uchapaji 
Habari November 22, 2025
Kwagila Awataka Wasimamizi Wa Elimu TAMISEMI Kuwajibika Kikamilifu
Habari November 21, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?