MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mfanyakazi Ana Wajibu Kupeleka Taarifa za Madai
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mfanyakazi Ana Wajibu Kupeleka Taarifa za Madai
Habari

Mfanyakazi Ana Wajibu Kupeleka Taarifa za Madai

Author
By Author
Share
1 Min Read

Na Lucy Lyatuu

MFUKO wa Fidia Kwa Watumishi wa Umma (WCF) umesema Kwa Sasa mfanyakazi ndio mwemye dhamana ya kupeleka taarifa zake Kwa ajili ya kudai haki na zisichelewe ndani ya miezi 12.

Mkurugenzi Mkuu wa WCF,Dk John Mduma amesema hayo jijini Dodoma alipotembelewa na Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) Tumaini Nyamhokya Kwa ajili ya kutambulisha gazeti la MFANYAKAZI akiongozana pia na Mhariri Mkuu Shani Kibwasali.

Amesema kuna wafanyakazi wengi haki zao zinapotea na Kwa kushirikiana na MFANYAKAZI wanaweza kupata uelewa wa kutosha na kuchukua hatua mapema.

“Kuna Ile miezi 12 ya kutoa taarifa, na Mfanyakazi akichelewesha sheria inamkataza kupata haki yake,” amesema Dk Mduma.
Amesema Mfanyakazi akielimika atajua simu akipata Janga Atakuwa makini na mwajiri vilevile kuwa makini wakati mfanyakazi akitoa madai yake.

 

Dk Mduma amesema pia hivi karibuni sheria imepita kwamba vyama vya wafanyakazi au Mwanasheria wanaweza pia kupeleka taarifa na WCF wakarudi Kwa mwajiri.

Kwa upande,Rais Nyamhokya amesema kupitia chombo Cha MFANYAKAZI kitawezesha kundi hilo kujua Kila anayefidiwa na sheria mbalimbali zinazowahusu.

Naye Kibwasali amesema yapo mengi ya kujua kuhusu wafanyakazi na waelewe Taasisi zinazosimamia masuala yao.

You Might Also Like

Mfuko wa Hifadhi ya Jamii wa Hiari Upo Kwa Ajili ya Watanzania – Kabonaki

TUCTA Yakutana Na Mkuu Wa Mkoa Mbeya, Maandalizi Mei Mosi kitaifa 2025.

Wafugaji huchakachua maziwa kwa kuongeza mafuta, maji, magadi au mkojo wa ng’ombe

Mikataba ya zaidi ya bilioni 50 kuhamasisha nishati salama

Erio atoa elimu ya bidhaa bandia kwenye mabanda nanenane

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Muswada wa Kuwalinda Wafanyakazi wa Ndani Waja
Next Article Wastaafu Epukeni Matapeli Kwenye Mafao-PSSSF
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Rais Wa CWT Suleiman Ikomba Sasa Ni Daktari
Habari September 13, 2025
Salum Mwalim: Nitarejesha Hadhi ya Kanda ya Ziwa na Kuinua Zao la Pamba
Habari September 12, 2025
TEA Yatathmini Utekelezaji na Kupanga Mwelekeo Mpya Kupitia Baraza la Wafanyakazi
Habari September 12, 2025
Manara: Sitapambana na Wafanyabiashara, Nitawatetea
Habari September 12, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?