MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Masauni Kuzifanyia Kazi Changamoto Alizozibaini Katika Ziara Yake
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Masauni Kuzifanyia Kazi Changamoto Alizozibaini Katika Ziara Yake
Habari

Masauni Kuzifanyia Kazi Changamoto Alizozibaini Katika Ziara Yake

Author
By Author
Share
1 Min Read
Na Mwandishi Wetu
DODOMA: WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamadi Masauni amesema wanategemea kupokea vitendea kazi mbalimbali vitakavyosaidia kutatua changamoto ya utendaji kazi.
Masauni amesema hayo wakati wa ziara yake katika Mkoa wa Dodoma alipokuwa akizungumza katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kongwa kabla ya kuzindua miradi na kuzungumza na wananchi kwenye Mkutano wa hadhara wilayani hapo.
Ametaja vitendea kazi vitakavyopokelewa kupitia Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kuwa ni magari ya kuzima moto, helikopta, na boti.
Pia amesema wizara yake itafanyia kazi na kuziondoa changamoto zote za Vyombo vya Usalama vilivyo chini yake alizozibaini kwenye ziara hiyo.
Katika ziara hiyo Waziri Masauni amezindua miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa katika Mkoa wa Dodoma ikiwemo uzinduzi wa vituo vya Polisi, Shule ya Sekondari na maabara ya shule ya Sekondari.
Amekiri watendaji wa Vyombo vya Usalama vilivyo chini ya Wizara yake  kufanya kazi kwa ufanisi na kujitoa kwa hali na mali ili  kuhakikisha amani na usalama inakuwepo wakati wote.

You Might Also Like

Silaa: Akili Mnemba, Roboti kuongeza ufanisi,ubunifu 

eGA Yatengeneza  Mifumo  Kurahisisha  Kazi

Umwagiliaji kumwezesha mkulima kulima mara mbili mpaka tatu kwa mwaka

Wakulima wafunzwa kuhusu mlipuko wa panya TPHPA

ALAT Kujadili Ripoti Ya CAG

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Majaliwa Asisitiza Matumizi ya Mifumo ya Kieletroniki Katika Makusanyo
Next Article Watumishi wa Umma Watakiwa Kuwa na Nidhamu, Ubunifu
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mramba Afungua Mafunzo Ya Teknolojia Ya Nishati Jua Kwa Watalaam
Habari August 7, 2025
Mbegu Bora za Miwa Zenye Tija ya Tani 200 kwa Hekta Zaendelea Kuwanufaisha Wakulima
Habari August 7, 2025
Mbegu Bora za Mpunga Zazalishwa TARI Dakawa, Ifakara
Habari August 7, 2025
Mtego wa Inzi Wa Matunda Suluhisho Salama kwa Wakulima
Habari August 7, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?