MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Malecela Aibuka Kidume Dodoma Mjini, Mavunde Ang’aa Mtumba
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Malecela Aibuka Kidume Dodoma Mjini, Mavunde Ang’aa Mtumba
Habari

Malecela Aibuka Kidume Dodoma Mjini, Mavunde Ang’aa Mtumba

Author
By Author
Share
1 Min Read
Na Danson Kaijage
DODOMA: SAMWEL Malecela ameshinda kura za maoni za Ubunge kupitia CCM katika Jimbo la Dodoma Mjini, huku Anthony Mavunde akiibuka kidedea Jimbo la Mtumba, kwa mujibu wa matokeo yaliyotangazwa na msimamizi wa uchaguzi Irimina  Mushonge.
Katika Dodoma Mjini, Malecela alipata kura 2,804 sawa na asilimia 43 kati ya wagombea nane. Wapinzani wake waliokuwa karibu ni Samwel Kisaro (23%) na Paschal Kinyele (10%). Jumla ya kura halali zilikuwa 6,226 kati ya 6,288 zilizopigwa.
Kwa upande wa Mtumba, Mavunde alipata ushindi mkubwa kwa kura 2,082 sawa na asilimia 80.9 kati ya wagombea wanne, akifuatiwa na Mussa Luhamo aliyepata asilimia 12. Kura halali zilikuwa 7,352 kati ya 7,446 zilizopigwa.
Hata hivyo, baadhi ya wagombea wa Dodoma Mjini hawakusaini makubaliano ya matokeo wakidai kuwepo kwa malalamiko, ambayo msimamizi amesema yatashughulikiwa kwa njia ya maandishi rasmi.

You Might Also Like

Chukueni Mkopo, Kwenye Taasisi Zilizopewa Leseni Na BOT

Ridhiwan Kikwete aitaka LESCO kushirikiana na serikali

TPHPA: Toeni taarifa mapema milipuko ya kwelea kwelea, nzige, viwavijeshi vamizi inapotokea

Simbachawene Asema Serikali Yajivunia Mafanikio TASAF

TPHPA Yanunua Ndege Kudhibiti Visumbufu Vya Mazao

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Tanzania Yazindua Mkakati wa Taifa wa Usimamizi Na Uendelevu wa Mikoko
Next Article UDSM Imekuja Na App Inayounganisha Wakulima na Watoa Huduma za Kilimo kwa Haraka
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Tume ya Kurekebisha Sheria Yaelimisha Umma Kuhusu Haki za Wanyama
Habari August 6, 2025
Bundi Wasaidia Kupambana na Panya: Teknolojia Asilia Inayobadili Maisha ya Wakulima
Habari August 6, 2025
Ofisa wa TARI Kuwapo Kila Kituo cha Umwagiliaji – Naibu Katibu Mkuu
Habari August 6, 2025
Mbinu Mpya za Kilimo kwa Vijana Zapata Umaarufu Nanenane Banda La VETA
Habari August 6, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?