MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Majiko Banifu 1000 Kuuzwa Kwa Bei Ya Ruzuku Katika Maonesho Ya Madini Geita
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Majiko Banifu 1000 Kuuzwa Kwa Bei Ya Ruzuku Katika Maonesho Ya Madini Geita
Habari

Majiko Banifu 1000 Kuuzwa Kwa Bei Ya Ruzuku Katika Maonesho Ya Madini Geita

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Steven Nyamiti, (REA)
GEITA: WAKALA wa Nishati Vijijini (REA), umesema majiko banifu yanayotolewa kwa bei ya ruzuku yanayotumia kiasi kidogo cha mkaa kulinganisha na majiko mengine ya mkaa.
Wataalam kutoka REA wamesema hayo katika elimu wanayoitoa katika Maonesho ya Nane ya Kitaifa ya Teknolojia ya Madini yanayofanyika katika viwanja vya Dkt. Samia Suluhu Hassan mkoani Geita.
Habari Picha 9493
Picha zote zimepigwa na Steven Nyamiti kutoka Wakala wa Nishati Vijijini ( REA)
Kuhusu majiko banifu hayo, wataalam hao wa REA wamesema yametengenezwa kwa teknolojia ya kisasa yenye uwezo wa kupunguza sumu ya mkaa, hivyo inasaidia kupunguza madhara ya kiafya yatokanayo na nishati ya mkaa.
Pia amesema majiko banifu yanasaidia utunzaji wa mazingira, ni rahisi kwa matumizi, yanadumu kwa muda mrefu bila kupata changamoto ya kuharibika kwa watumiaji.
Katika mkoa wa Geita, kampuni inayosambaza majiko banifu kwa bei ya ruzuku ni Geita Millenium Star Company Limited.
Habari Picha 9494
Majiko banifu yanatolewa kwa bei ya ruzuku ya Sh.6,195 kwa kuwa Serikali imeweka ruzuku ya bei katika majiko hayo ili wananchi waweze kuyatumia na kuyapata kwa urahisi, ambapo kabla ya ruzuku yalikuwa yanauzwa kwa Sh. 41,300.

You Might Also Like

Katibu Mkuu Ahimiza Uzalendo Na Uadilifu Kwa Wanachama wa Ewura CCC

Hifadhi za Bahari na Maeneo Tengefu yaita wawekezaji

Mpango Mkakati wa Takwimu wazinduliwa

ALAT Kujadili Ripoti Ya CAG

Wanawake 1,063 Wahitimu Mafunzo Ya Ujuzi VETA Mbeya Kupitia Mpango Wa Rais Samia

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Majaliwa Kufungua Maonesho Ya Madini Geita Leo
Next Article REA Yapamba Maonesho Ya Kitaifa Ya Teknolojia Ya Madini Geita
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Vitabu Vya Sauti Kuvutia Vijana, Serikali Yapongeza Ubunifu Wa Mkuki Na Nyota
Habari November 22, 2025
Ubora Wa E & D Vision Publishing Wamkuna Waziri Kabudi Maonyesho Ya Vitabu Dar
Habari November 22, 2025
Kabudi: Vitabu Ni Tiba, Atoa Wito Kuimarisha Maktaba, Uchapaji 
Habari November 22, 2025
Kwagila Awataka Wasimamizi Wa Elimu TAMISEMI Kuwajibika Kikamilifu
Habari November 21, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?