MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Majaliwa Kufungua Maonesho Ya Madini Geita Leo
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Majaliwa Kufungua Maonesho Ya Madini Geita Leo
Habari

Majaliwa Kufungua Maonesho Ya Madini Geita Leo

Author
By Author
Share
2 Min Read

Shoo awataka wadau wajifunze teknolojia mpya

Na Lucy Ngowi

GEITA: WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa leo anatarajiwa kufungua Maonesho ya Nane ya Kitaifa ya Teknolojia ya Madini, katika Viwanja vya Dkt. Samia Suluhu Hassan vilivyopo Bombambili, Manispaa ya Geita.

Ofisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Geita, Samwel Shoo amesema hayo alipozungumza na Waandishi wa Habari jana, na kuongeza kuwa Tume ya Madini inashiriki maonesho hayo kwa mwaka wa nane mfululizo,  imeandaa huduma mbalimbali za elimu kwa wadau wote wa sekta ya madini.

Habari Picha 9488

Amesema maonesho hayo ni jukwaa muhimu linalowaunganisha wachimbaji, wachenjuaji, wafanyabiashara na wadau wengine kubadilishana ujuzi na mbinu bora za kazi.

Pia amesema ni fursa ya kuimarisha ushirikiano kati ya sekta ya madini na sekta nyingine za kijamii na kiuchumi.

“Ni wakati wa wadau wa madini kujifunza teknolojia za kisasa zinazohusu utafiti, uchimbaji na uchenjuaji. Wachimbaji wa viwango vyote, wawekezaji pamoja na wananchi wenye nia ya kuwekeza wanapaswa kufika kujipatia maarifa sahihi,” amesema Shoo.

Habari Picha 9489

Ameongeza kuwa banda la Wizara ya Madini na Taasisi zake, ikiwemo Tume ya Madini, litatoa elimu ya kina kuhusu mnyororo mzima wa shughuli za madini.

Amehimiza Watanzania kulitumia ipasavyo banda hilo kwa ajili ya kupata taarifa muhimu zinazoweza kuwasaidia katika kufanya maamuzi ya uwekezaji.

Maonesho ya mwaka huu yanafanyika chini ya kaulimbiu: ‘Ukuaji wa Sekta ya Madini ni Matokeo ya Matumizi ya Teknolojia Sahihi na Uongozi Bora, Shiriki Uchaguzi Mkuu 2025′.


You Might Also Like

Bodi ya Bima ya Amana Yatoa  Bil 9.07 , Fidia Kwa Wateja Wa Benki Saba   Zilizofilisika

Mkutano Maalum wa CCM Kufanyika Kesho Mtandaoni

Watumishi Wanawake Wa TEA wajitoa Kwa Jamii

Waajiri Wasilisheni Michango Kwa Wakati

TARI Yawaalika Wakulima Kujifunza Teknolojia Bora 88 Mkoani Morogoro

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Washauri Somo la Astronomia Kurudishwa Mashuleni, Kukuza Utalii Anga
Next Article Majiko Banifu 1000 Kuuzwa Kwa Bei Ya Ruzuku Katika Maonesho Ya Madini Geita
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Waziri Mkuu Majaliwa Akabidhi Tuzo kwa BoT Geita
Habari September 22, 2025
BoT Yarahisisha Uuzaji wa Dhahabu kwa Wachimbaji, Yatoa Punguzo La Mrabaha
Habari September 22, 2025
Waziri Mkuu Apongeza Huduma Kidijitali za NSSF, Maonesho Ya Madini Geita
Habari September 22, 2025
Mkuu Wa Mkoa Shinyanga Asifu Kazi Ya Bodi Bima Ya Amana
Habari September 22, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?