MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Majaliwa: Anwani Za Makazi Kupunguza  Safari Kwa Viongozi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Majaliwa: Anwani Za Makazi Kupunguza  Safari Kwa Viongozi
Habari

Majaliwa: Anwani Za Makazi Kupunguza  Safari Kwa Viongozi

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
DODOMA: ILI wananchi waweze kupata huduma ya barua ya utambulisho inapaswa awe na anuani ya makazi iliyosajiliwa kwenye mfumo wa NaPA.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesena hayo leo Februari nane, 2025 wakati wa Maadhimisho ya Kilele cha Wiki ya Anuani za Makazi yaliyofanyika jijini Dodoma.
Majaliwa amesema mwananchi akiwa na anwani hiyo ya makazi, hatafuata tena huduma ya utambulisho katika Ofisi za Serikali ya kijiji, mtaa ama sheha.
Amesema Rais Samia amewezesha utekelezaji  wa mfumo huo wa  anwani za makazi nchini kwa njia ya operesheni uliouzindua.
 “Hatua hii iliyofikiwa na nchi katika utekelezaji wa mfumo wa anwani za makazi ni ya  kujivunia kwani hata nchi jirani ikiwemo za Uganda, Comorro na Eswatini zinaleta wataalamu kujifunza uzoefu “
“
Hii, ni fursa kwa wataalamu wa ndani kutumika kueneza uzoefu kwa mataifa mengine.
Amesisitixa kwamba utekelezaji wa mfumo wa anwani za makazi ni endelevu kwa sababu ya mabadiliko ya makazi na huduma.
Kwa upande wake Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa amesema Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari inaendelea kusimamia na kuendeleza miundombinu na mifumo ya msingi,  ambayo ni mhimili muhimu wa uchumi wa kidijitali ulioainishwa katika Mkakati wa Uchumi wa Kidijitali wa Miaka 10 (2024–2034).
Amesema mifumo hiyo inajumuisha mifumo ya utambuzi wa watu, biashara, ardhi, na makazi. “Katika muktadha huu, utekelezaji wa Mfumo wa Anwani za Makazi ni hatua ya kimapinduzi inayolenga kuboresha utambuzi na utoaji wa huduma kwa wananchi hapa nchini.”

You Might Also Like

Askofu Akemea Midoli Kuvishwa Nguo Za Ndani

India Kuwekeza Katika Sekta Ya Nishati Nchini

Mkurugenzi VETA Kasore Akiteta Jambo Na Mhitimu Fani Ya Ushonaji

Waziri Mkuu Mstaafu Pinda Atoa Neno Kwa Vijana, Maadhimisho Miaka 30 VETA

Kamati Ya Bunge Yahimiza Maslahi Ya Watumishi Wapya Yazingatiwe

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Ukarabati wa Reli Ya TAZARA Wafungua Ukurasa Mpya China, Afrika
Next Article Mkandarasi Atakiwa Kukamilisha Mradi Kwa Wakati
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?