MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Majaliwa Aagiza Sera Ya Elimu Kusimamiwa Kikamilifu
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Majaliwa Aagiza Sera Ya Elimu Kusimamiwa Kikamilifu
Habari

Majaliwa Aagiza Sera Ya Elimu Kusimamiwa Kikamilifu

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
DODOMA: WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amezielekeza mamlaka za mikoa, halmashauri na taasisi za elimu nchini  kusimamia kikamilifu utekelezaji wa Sera ya Elimu na Mafunzo ya 2014 Toleo la mwaka 2023, kwa ufanisi kulingana na majukumu yao.
Aidha Majaliwa amezitaka halmashauri ziweke kipaumbele katika kuanzisha na kuendesha shule za amali ili kuwawezesha vijana kupata ujuzi wa kuajiriwa au kujiajiri na hatimaye kuchangia katika maendeleo ya Taifa.
Ametoa maelekezo hayo leo Ijumaa Februari 14, 2025 wakati akisoma hotuba ya kuahirisha Mkutano wa 18 wa Bunge la 12, bungeni jijini Dodoma.
“Sera na Mitaala hiyo ni maono na maelekezo ya Rais Samia Suluhu Hassan yenye lengo la kufanya elimu inayotolewa hapa nchini iwiane na mahitaji ya sasa, lakini pia wahitimu wapate stadi na maarifa yatakayomudu mabadiliko na kasi ya ukuaji wa teknolojia,” amesema.
Pia amesema hali ya uzalishaji na upatikanaji wa chakula nchini imeendelea kuimarika ambapo katika msimu wa 2023/2024 uzalishaji wa mazao ya chakula ulifikia tani milioni 22.8.
“Kwa kuzingatia uzalishaji huo na mahitaji ya chakula ya tani milioni 17.7 kwa mwaka 2024/2025, nchi itakuwa na utoshelevu wa asilimia 128.
“Hadi kufikia Januari 31, 2025 Wakala imehifadhi jumla ya tani 776,000 za nafaka katika ghala za Wakala zilizopo kwenye maeneo mbalimbali nchini,” amesema.
Kwa upande mwingine ametoa wito
 kwa wananchi wanaoishi kwenye baadhi ya maeneo nchini yanayopata mvua chache kuchukua tahadhari mapema na kuzalisha mazao yanayokomaa kwa muda mfupi.
 “Hatua hii iende sambamba na kutumia vizuri mavuno yaliyopatikana kwa kutunza chakula cha kutosha katika ngazi ya kaya,” amesema.
Bunge limeahirishwa hadi siku ya Jumanne Aprili nane, 2025.

You Might Also Like

Mbunifu Alilia Uwepo Wa Miongozo Kwa Wagunduzi

Kikwete: Waambieni Tunataka Maendeleo Sio Maneno

Wanafunzi Msingi Wajitosa Kujifunza Kichina

Waziri wa Vijana akutana na Mwita wa Zanzibar

Sera mpya ya biashara irahisishe ufanyaji biashara

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Chuo Cha VETA Chazindua Mradi Wa Biogas
Next Article Rais Samia Kushiriki Mkutano Wa Wakuu Wa Nchi Ethiopia
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?