MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mafua, Kifua Yadaiwa Kusababisha Kifo cha Job Ndugai
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mafua, Kifua Yadaiwa Kusababisha Kifo cha Job Ndugai
Habari

Mafua, Kifua Yadaiwa Kusababisha Kifo cha Job Ndugai

Author
By Author
Share
1 Min Read

Na Danson Kaijage

DODOMA: Machite Mgulambwa, mdogo wa aliyekuwa Spika wa Bunge, marehemu Job Ndugai, amesema kifo cha kaka yake kimetokea kwa ghafla, akieleza kuwa kilisababishwa na mafua na kifua.

Machite ameeleza kuwa hadi tarehe 4 Agosti 2025, siku ya kukamilika kwa mchakato wa kura za maoni ndani ya CCM jimbo la Kongwa, Ndugai alikuwa na afya njema na alihitimisha kampeni zake kwa mafanikio.

Agosti tano, 2025 majira ya asubuhi Machite alizungumza naye kwa simu, ambapo Ndugai alilalamikia hali ya mafua na kifua lakini akasisitiza si tatizo kubwa.

ALimweleza kuwa atapumzika mjini kutokana na uchovu na vumbi la kampeni. Machite pia alieleza kuwa Ndugai alionekana na mipango ya msimu wa kilimo, jambo linaloonesha hakuwa na dalili za ugonjwa mbaya.

Kifo chake kimetangazwa rasmi na Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson,

 

You Might Also Like

Maliasili Yapongezwa Kwa Kutekeleza Maono Ya Rais Samia  

RC Chalamila, Wasaidizi Wake Kukutana na Kadogosa Kuzungumzia Ujenzi Wa Reli Dar

Masoko mapya nje ya nchi kuipatia nchi sh. trilioni 10

Watafiti Watumia Mbinu Mpya Kudhibiti Mdudu Kantangaze Kwenye Nyanya Bila Viuatilifu

China yatoa elimu ya ujenzi kwa wanafunzi Baobab

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Zimbabwe Yakabidhi Uenyekiti Kwa Madagascar
Next Article Mtego wa Inzi Wa Matunda Suluhisho Salama kwa Wakulima
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mtego wa Inzi Wa Matunda Suluhisho Salama kwa Wakulima
Habari August 7, 2025
Zimbabwe Yakabidhi Uenyekiti Kwa Madagascar
Habari August 7, 2025
Tume ya Kurekebisha Sheria Yatoa Onyo Kali kwa Wanaovunja Sheria za Umwagiliaji
Habari August 7, 2025
DC Atoa Wito kwa Tume ya Kurekebisha Sheria Kuzingatia Sheria Ndogondogo za Halmashauri
Habari August 7, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?