MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mabalozi Wa Utalii Waahidi Kuulinda Ushoroba Wa Kwakuchinja
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mabalozi Wa Utalii Waahidi Kuulinda Ushoroba Wa Kwakuchinja
Habari

Mabalozi Wa Utalii Waahidi Kuulinda Ushoroba Wa Kwakuchinja

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Mwandishi Wetu
WANAFUNZI 40 walioteuliwa kuwa Mabalozi wa Uhifadhi na Utalii wilayani Babati, mkoa wa Manyara, wameahidi kuulinda ushoroba wa wanyamapori wa Kwakuchinja uliopo katika Hifadhi ya Jamii ya Wanyamapori ya Burunge, inayounganisha hifadhi za Taifa za Tarangire na Manyara.
Habari Picha 10613
Wanafunzi hao kutoka shule nne za sekondari katika eneo la Burunge WMA walitoa ahadi hiyo baada ya kurejea katika ziara ya mafunzo ya uhifadhi na utalii katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro, iliyogharamiwa na Taasisi ya Chem Chem Association.
Kiongozi wa wanafunzi hao, Prosper Frank wa Shule ya Sekondari Mbughwe, alisema wamepata maarifa muhimu yatakayowawezesha kutoa elimu kwa jamii kuhusu umuhimu wa kulinda ushoroba huo.
Amesema kauli mbiu yao ni “Kwakuchinja Corridor Shall Never Die” na wakaomba serikali iwashirikishe katika mikutano ya kutoa elimu ya uhifadhi na utalii.
Akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Babati, Ofisa Tarafa Emmiliana Fred ameishukuru Chem Chem kwa kufanikisha mafunzo hayo na kuahidi ushirikiano wa serikali katika kukuza uhifadhi na utalii.
Amesema elimu waliyoipata wanafunzi itawasaidia kuwa mabalozi wa utalii na hata kujiajiri baadaye.
Mkurugenzi wa Chem Chem Association, Clever Zulu, amesema mafunzo hayo yataleta mabadiliko chanya katika uhifadhi na utalii kuanzia Burunge WMA hadi taifa zima. Aliongeza kuwa taasisi hiyo itaendelea kushirikiana na serikali na jamii katika kuendeleza uhifadhi, pamoja na kusaidia sekta za elimu, afya, maji na uwezeshaji wa vijana na wanawake.
Kwa niaba ya wazazi, Dk Benson Andrea aliipongeza Chem Chem kwa uwekezaji wake katika uhifadhi na kuahidi ushirikiano wa jamii zinazozunguka Burunge WMA.
Habari Picha 10614
Habari Picha 10615
Habari Picha 10617
Habari Picha 10618

You Might Also Like

Waziri Mkuu Majaliwa aitaka uchukuzi lusimamia kwa karibu TRC

Tanzania,  na Taasisi ya BVGH kuimarisha huduma za saratani

Makalla Aeleza Jinsi CCM Ilivyosimamisha Nchi Mchakato Kura Za Maoni

NIDA Yapata Kibali Maalum Kurekebisha Taarifa Kwa Walioghushi Ili  Kujisajili

Samia akisalimiana na Rais wa China

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Wananchi Kunufaika Na Huduma Za Kijamii Mradi Wa LNG Mkoani Lindi
Next Article TALGWU Yawakutanisha Wawakilishi Wa Wafanyakazi Wenye Ulemavu Dodoma
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Nchimbi Ahimiza Ushirikiano wa Wizara Katika Uhifadhi wa Mazingira
Habari March 10, 2026
Mtaka, Ndunguru Wakubaliana Ujenzi wa Maabara ya Kimkakati Njombe
Habari March 10, 2026
Wataalamu wa Fedha SADC Wakutana Pretoria Kujadili Bajeti
Habari March 9, 2026
TASFAM Yawawezesha Wanawake wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi Kuadhimisha Siku ya Mwanamke
Habari March 9, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?