MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Kuelekea Uchaguzi Mkuu, Wanaotumika Vibaya Waonywe
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Kuelekea Uchaguzi Mkuu, Wanaotumika Vibaya Waonywe
Habari

Kuelekea Uchaguzi Mkuu, Wanaotumika Vibaya Waonywe

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Lucy Lyatuu

KUELEKEA Uchaguzi Mkuu, Katibu Tawala wa mkoa wa Dares Salaam, Dk Toba Nguvila amewataka madereva pikipiki maarufu kama bodaboda na bajaj kujiepusha na vikundi vya watu vinavyotumika vibaya kwa ajili ya kuchafua taswira yay a Tanzania.

Amesema hayo Dares Salaam wakati akizindua ripoti ya utafiti dhidi ya kundi hilo iliyofanywa na Chama Cha Wafanyakazi Wa Mawasiliano Na Usafirishaji Tanzania (COTWU-T) na Shirila La Friedrich Ebert Stiffung(FES) Tanzania.

Akizungumzia uchaguzi amelitaka kundi hilo kutambua kuwa hakuna mbadala wa Tanzania, wala Dar es Salaam nyingine na hakuna mbadala wa mambo mengi yanayofanywa mazuri.

“Ukiona utulivu uliopo ni kwa sababu tumejenga Tanzania nzuri…Tunaye Rais ambaye ana 4R kama kuna jambo lolote ambalo ni gumu yafaa kulizungumza vizuri na kama kuna jambo lolote linalohitaji viongozi, mtuone hata jana,leo na kesho,” amesema Dk Nguvila.

Amesema kutokana na hayo pindi wakiwaona watu wanaotumika vibaya waonywe, waambiewe ukweli, kwa kuwa Rais aliyepo ni shujaa sana.

“Mama ana uwezo mkubwa sana, tuna viongozi wazuri, mawaziri wazuri, watendaji wazuri sana, kama kuna jambo linaloonekana haliendi vizuri tuelezane, tuko tayari,” amesema.

Amesema wanapokwenda kwenye uchaguzi wasiende kutumika bali wakatende matendo memo ya kuleta uzalendo kwa nchi, yenye amani, usikivu na nidhamu kwa taifa, yenye maadili ya kitanzania ya kiakisi upendo, umoja na mshikamano.

“Tuenende kwa ajili ya kutafuta fedha na kujenga uchumi Tanzania ni nchi ya amani, biashara ziko saa 24 ili mfanyekazi mkitafuta fedha,” amesema

You Might Also Like

UDSM Yatumia Teknolojia Ya Kidijitali Kukabili Sumukuvu

PSSSF MSHINDI WA KWANZA TUZO ZA UANDAAJI BORA MAHESABU ZA NBAA, 2023

Waislamu Watakiwa Kusimamia Misingi Ya Upendo, Ushirikiano, Amani

Ufugaji wa sungura ni fursa  – UDOM

Tanzania Ipo Tayari Soko la Pamoja kuuziana Umeme – Biteko

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Ripoti Ya Bodadoda Yazinduliwa
Next Article OSHA Yatoa Gawio Kwa Serikali Zaidi  Ya Bilioni 10
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?