MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Kima Cha Chini Cha Mshahara Chapanda Kwa Asilimia 35.1-Rais Samia
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Kima Cha Chini Cha Mshahara Chapanda Kwa Asilimia 35.1-Rais Samia
Habari

Kima Cha Chini Cha Mshahara Chapanda Kwa Asilimia 35.1-Rais Samia

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Lucy Lyatuu, Singida
KATIKA  maadhimisho ya siku ya Wafanyakazi duniani Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza neema kwa wafanyakazi wa serikali kwamba kuanzia Julai 2025 mshahara utaongezeka kwa asilimia 35.1 na kuwezesha wafanyakazi wa kima cha chini kulipwa shilingi 500,000 kutoka 370,000 ya sasa.

Akizungumza katika madhimisho ya Mei Mosi mwaka huu, Rais Samia ametangaza nyongeza hiyo ya mishahara ya kima cha chini kwa asilimia 35.1  kwa wafanyakazi wa serikali ambapo watakuwa wanalipwa mishahara wa sh 500,000 kutoka sh 370 ,000 kuanzia Julai mosi 2025.
Amesema kwa sekta binafsi mchakato wa nyongeza unaendelea kupitia bodi ya mishahara ya sekta binafsi.
Rais Samia amesema.serikali imefikia uamuzi huo.baada ya uchumi kuanza kuimarika kutokana na kuongezeka kwa uzalishaji nchini.
Amesema uchumi kwa sasa umefikia asilimia 5.5 kutoka 4.6 mwaka 2024, hivyo anaona ni wakati muafaka wa kuongeza mshahara.
Tangazo hilo la Rais lilipokewa kwa shangwe na nderemo na maelfu ya wafanyanyakazi waliokuwa wamejitokeza anbao swali walionekana kupoa kiwanjani hapo.
Kwa upande wake Waziri wa Ajira, Kazi na Watu wenye Ulemavu, Ridhiwani Kikwete amesema atahakikisha utatu unasimamiwa katika wizara yake ili kila upande uweze kunufaika.
Kuhusu vyama vya wafanyakazi Rais Samia amevitaka viwe chachu ya maendeleo na kuzingatia sheria za kazi ambao wanaosimamia.

You Might Also Like

Takukuru Kinondoni Yapokea Malalamiko 46 Kuhusu Rushwa

TARI Yakutanisha Wadau Afya Ya Udongo

Dkt. Ndumbaro : Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia Imefanikiwa 

Majaliwa awasili Kilimanjaro kufungua semina Mambo ya Ndani

Polisi Yaimarisha Usalama Timu za Simba na Yanga Kesho

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Rais Samia ashuhudia JOWUTA Ikiwa mwanachama wa  TUCTA 
Next Article Kuhusisha Wanafunzi Matukio Ya Kisayansi, Kunawafanya Waipende 
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?