MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Katambi Awataka CBE Kutoa Elimu Yenye Ushindani Kimataifa
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Katambi Awataka CBE Kutoa Elimu Yenye Ushindani Kimataifa
Habari

Katambi Awataka CBE Kutoa Elimu Yenye Ushindani Kimataifa

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
NAIBU Waziri wa Viwanda na Biashara, Patrobas Katambi, amesisitiza Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) kutoa elimu yenye viwango vinavyoweza kushindana kimataifa.
Kauli hiyo alitoa wakati wa ziara yake katika chuo hicho mkoani Dar es Salaam, akibainisha kuwa elimu inapaswa kutatua changamoto za mtu binafsi, jamii na taifa kwa ujumla.
Katambi amesema CBE inatakiwa kuimarisha tafiti za tija zitakazochochea maendeleo ya elimu, kubaini changamoto zilizopo na kutoa suluhu zinazofaa.
Pia amesisitiza umuhimu wa kuzingatia tafiti za kina katika kutoa ushauri kwa serikali ili kufanya maamuzi sahihi.
Aidha, amehimiza chuo kutoa mafunzo kwa wajasiriamali wadogo na wa kati, akibainisha kuwa kundi hili lina mzunguko mkubwa wa fedha lakini halijapewa kipaumbele cha kutosha.
Pia amesema CBE inaweza kushirikiana na taasisi za kifedha, hususan benki zinazotoza riba kubwa, ili kusaidia maendeleo ya wajasiriamali.
Katambi pia amegusia umuhimu wa kutambua na kuwarasimisha watu wenye ujuzi walioupata nje ya elimu rasmi, hatua itakayochangia maendeleo ya taifa.
Kwa upande wake, Mkuu wa CBE, Prof. Edda Lwoga, amesema chuo kimeanza kujiendeleza kimataifa kupitia ujenzi wa uwezo wa wahadhiri na kuanzisha programu mpya.
Ofisa Miliki wa chuo, Osward Mtei, ameeleza kuwa ujenzi wa jengo la Metrology umeanza Mei 25, 2023, ukitarajiwa kukamilika Mei 23, 2026, kwa gharama ya jumla ya Sh. Bilioni 26.47.

You Might Also Like

Mbarawa Aagiza Matumizi Ya Kitufe Utambuzi Wa Dereva

Mpango Mkakati wa Takwimu wazinduliwa

Mabalozi Wa Utalii Waahidi Kuulinda Ushoroba Wa Kwakuchinja

Kusiluka aitaka TVLA kuongeza tafiti za chanjo 

Mradi Wa Thamini Uzazi Salama Wakabidhiwa Vitendeakazi

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article UDSM Yashirikiana na China Kukuza Maarifa na Urafiki Kupitia Vitabu
Next Article Katambi aitaka BRELA kuharakisha urasimishaji wa biashara
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

CAG Aipongeza TARURA Kwa Ujenzi Wa Miundombinu
Habari January 9, 2026
Tuna Deni La Kusimamia Miradi Na Kusikiliza Kero za wananchi Ili Kuleta Maendeleo Ya Kweli-Salome
Habari January 9, 2026
Rais Dkt Samia Azindua Majengo Ya Kisasa
Habari January 8, 2026
TEA, UNICEF Watekeleza Miradi ya Elimu Visawani Zanzibar
Habari January 8, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?