MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Katambi Ahimiza Udhibiti wa Bidhaa Duni, Jamii Yatakiwa Kutumia Huduma za TBS
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Katambi Ahimiza Udhibiti wa Bidhaa Duni, Jamii Yatakiwa Kutumia Huduma za TBS
Habari

Katambi Ahimiza Udhibiti wa Bidhaa Duni, Jamii Yatakiwa Kutumia Huduma za TBS

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
DAR ES SALAAM: NAIBU Waziri wa Viwanda na Biashara, Patrobas Katambi, ametoa wito kwa wananchi na taasisi husika kuchukua hatua madhubuti kudhibiti mianya isiyo rasmi inayoruhusu uingizwaji wa bidhaa zisizokidhi viwango nchini.
Akizungumza wakati wa ziara yake katika Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Katambi amehimiza Watanzania kutumia huduma za TBS ili kuhakikisha bidhaa wanazozalisha au kutumia zina ubora unaokubalika.
Aidha, amewatahadharisha wafanyabiashara wanaokwepa kodi au kuingiza bidhaa duni, akisema vitendo hivyo huisababishia serikali hasara na kuhatarisha afya za wananchi.
Katambi amesisitiza umuhimu wa kupambana na magendo na kuwataka wananchi kujenga tabia ya kukagua viambato vya bidhaa wanazotumia, hususan bidhaa za chakula na vipodozi.
Amesema TBS iko tayari kupokea sampuli za bidhaa na kuzifanyia tathmini ili kuthibitisha ubora wake kabla ya kuingia sokoni.
Ameongeza kuwa changamoto katika sekta ya chakula mara nyingi husababishwa na kutokuzingatiwa kwa masharti ya utunzaji wa bidhaa, akisisitiza kuwa TBS haipaswi kulaumiwa pale ambapo masharti hayo yanakiukwa.
Habari Picha 10676
Kwa upande wake, Mkurugenzi Mkuu wa TBS, Dkt. Ashura Katunzi, amesema viwango vya kitaifa hutengenezwa kwa ushirikishwaji wa wadau na shirika hilo lina maabara nane zinazotambulika kimataifa.
Ameongeza kuwa TBS inaendelea kupanua wigo wa huduma zake kupitia ofisi za kanda na vituo katika bandari na viwanja vya ndege ili kudhibiti ubora wa bidhaa zinazoingia nchini.

You Might Also Like

NIC Yaimarisha Uhusiano na Wateja Maonesho ya Teknolojia ya Madini Geita

Mwenda: Tupo kwa ajili ya kuzitatua changamoto za wananchi

Naibu Waziri Katambi Asisitiza Ufanisi na Ubunifu Kwenye SIDO

Mjadala wa Kidiplomasia Ya Kisayansi Wafanyika Marekani

ALAT Kujadili Ripoti Ya CAG

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Katambi aitaka BRELA kuharakisha urasimishaji wa biashara
Next Article Tafiti Nguzo Ya Maendeleo Ya Biashara, Uchumi – Katambi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

CAG Aipongeza TARURA Kwa Ujenzi Wa Miundombinu
Habari January 9, 2026
Tuna Deni La Kusimamia Miradi Na Kusikiliza Kero za wananchi Ili Kuleta Maendeleo Ya Kweli-Salome
Habari January 9, 2026
Rais Dkt Samia Azindua Majengo Ya Kisasa
Habari January 8, 2026
TEA, UNICEF Watekeleza Miradi ya Elimu Visawani Zanzibar
Habari January 8, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?