MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Kapinga Ahamasisha Wananchi Kushiriki Uchaguzi Serikali Ya Mtaa
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Kapinga Ahamasisha Wananchi Kushiriki Uchaguzi Serikali Ya Mtaa
Habari

Kapinga Ahamasisha Wananchi Kushiriki Uchaguzi Serikali Ya Mtaa

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Mwandishi Wetu

MBUNGE wa Vijana Mkoa wa Ruvuma  ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga anahamasisha wananchi katika maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Ruvuma  waweze kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika keshokutwa  Novemba 27, 2024.

Akiwa  katika Kata ya Matiri wilayani Mbinga kwenye fainali za mpira wa miguu mashindano ya Mkuu Super Cup, Kapinga amehamasisha makundi mbalimbali ya wananchi kushiriki katika uchaguzi huo wa serikali za mitaa utakaofanyika nchi nzima.

” Ndugu zangu, wote tunafahamu kazi kubwa iliyopo mbele yetu ya kufanya maamuzi ya kuchagua viongozi makini watakaokuwa wasimamizi wa shughuli za maendeleo katika maeneo yetu, kama ambavyo mmejitokeza kwa wingi katika fainali hii,  nguvu hii pia tuielekeze keshokutwa Novemba 27,2024, siku ya kupiga kura.” Amesisitiza Kapinga

Kapinga ameendelea kuwakumbusha  wananchi  kuchagua Viongozi imara, makini na wenye uchungu na maendeleo katika maeneo yao huku akiweka mkazo kuwa viongozi hao wanatokana na Chama cha Mapinduzi (CCM).

Kuhusu fainali ya Mkuu Super Cup ilihusisha  timu ya Bodaboda FC na Afya FC ambapo Bodaboda FC iliibugiza timu ya Afya kwa goli tatu, huku Afya ikiambulia goli moja.

Timu zilizoshika nafasi ya kwanza hadi ya tatu katika michuano hiyo zimepata zawadi ikiwa ni njia ya kutoa motisha kwa vijana kujihusisha na michezo.

 

You Might Also Like

Polisi Kuimarisha Ulinzi Nyumba Za Ibada Krismasi, Mwaka Mpya

DKT. Biteko Ashiriki Kongamano la Nishati Safi ya Kupikia Zanzibar

Bodi ya Bima ya Amana Yatoa  Bil 9.07 , Fidia Kwa Wateja Wa Benki Saba   Zilizofilisika

Rais Samia azindua skuli ya maandalizi Tasani

Wasilisheni Migogoro Yenu Tume ya Usuluhishi na Uamuzi – Massawe

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mwongozo wa Mafunzo Elekezi Kwa Walimu Wapya Kazini Mbioni Kukamilika
Next Article Dkt Biteko Ahimiza Watanzania Kupiga Kura Novemba 27,2024
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Waziri Mkuu Majaliwa Akabidhi Tuzo kwa BoT Geita
Habari September 22, 2025
BoT Yarahisisha Uuzaji wa Dhahabu kwa Wachimbaji, Yatoa Punguzo La Mrabaha
Habari September 22, 2025
Waziri Mkuu Apongeza Huduma Kidijitali za NSSF, Maonesho Ya Madini Geita
Habari September 22, 2025
Mkuu Wa Mkoa Shinyanga Asifu Kazi Ya Bodi Bima Ya Amana
Habari September 22, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?