MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Kamati YA Siasa Yaendelea Kukagua Miradi Ya Maendeleo Temeke
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Kamati YA Siasa Yaendelea Kukagua Miradi Ya Maendeleo Temeke
Habari

Kamati YA Siasa Yaendelea Kukagua Miradi Ya Maendeleo Temeke

Author
By Author
Share
1 Min Read

Na Lucy Ngowi

DAR ES SALAAM: KAMATI ya Siasa ya CCM Mkoa wa Dar es Salaam imekagua miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa kwa fedha zinazotolewa na serikali chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan.

Akizungumza wakati wa Ukaguzi wa miradi hiyo, Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Bass Mtemvu amempongeza Mkuu wa Mkoa Albert Chalamila, na viongozi wote walio chini yake kwa kazi nzuri wanayoifanya hususani utekelezaji wa miradi ya maendeleo yenye masilahi mapana kwa umma pamoja na ushirikiano mkubwa walionao kati ya Chama na Serikali.

Katika ziara hiyo iliyofanyika leo Mei saba, 2025 Chalamila amesema miradi yote katika Mkoa huo, itakamilika kwa wakati kwa viwango na kuzingatia thamani ya fedha.

Pia amesema mkakati wa Mkoa kwa sasa ni kujenga ghorofa katika majengo ya umma ikiwemo shule, vituo vya Afya kutokana na ufinyu wa watu na ongezeko la watu.

Katika ziara hiyo kanati imekagua ujenzi wa Jengo la Ghorofa la Shule ya Sekondari Mangaya linalojengwa Mbagala, Mradi wa Hospitali ya Wilaya ya Temeke unaojengwa Chamazi na Kituo cha Polisi cha Kisasa kinachojengwa Toangoma.

 

You Might Also Like

Trump Kusitisha Sheria Za AGOA, Afrika Yapata Hasara

TUGHE: Wafanyakazi wapewe haki ya kujiunga vyama vya wafanyakazi

TARI Yakutanisha Wadau Afya Ya Udongo

Kingoba : Sheria Inawataja Waliotoa Mchango Sekta Ya Habari Ambao Sio Waandishi Wa Habari

TPHPA, KEM Wasaini Hati Ya Makubaliano Udhibiti Viuatilifu

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mwanafunzi UDSM Aja Na Nyama Ya Mimea
Next Article Ridhiwan Atembelewa Na Watendaji NMB
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Nyanya Cheri na Ngogwe Chungu Zarejea 
Habari July 13, 2025
NFRA Yawaalika Wadau Kununua Nafaka kwa Masoko ya Ndani na Nje
Habari July 13, 2025
Kafulila: Ushirikiano wa Sekta Binafsi na Umma Kuboresha Huduma
Habari July 13, 2025
Teknolojia Mpya Ya Uchomeleaji Yaleta Mapinduzi VETA Dodoma
Habari July 12, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?