MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Kamati Ya Bunge Yakunwa Na TEA 
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Kamati Ya Bunge Yakunwa Na TEA 
Habari

Kamati Ya Bunge Yakunwa Na TEA 

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Mwandishi Wetu

KAMATI ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria imesema Mamlaka ya Elimu Tanzania ( TEA), inafanya kazi kubwa katika uboreshaji wa miundombinu ya elimu nchini.
Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Florence Kyombo amesema hayo Leo Februari 19, 2025 katika ziara ya kikazi Kisiwani Unguja Zanzibar.
Kyombo amesema  miradi hiyo ya TEA imekuwa na manufaa kwa jamii.
“TEA inafanya kazi kubwa sana kwenye uboreshaji wa miundombinu  ya elimu kote nchini sioZanzibar pekee.
“Ukipita maeneo ya vijijini na pembezoni mwa mji, utaiona miradi yao mingi ambayo inaendelea kutatua changamoto za miundombinu ya elimu,”amesema.
Kwa upande wake Mkurugenzi zmkuu wa TEA, Dkt. Erasmus Kipesha amesema ndani ya kipindi cha miaka mitano 2019/2020 hadi2024/ 2025 mamlaka hiyo imetekeleza miradi yenye thamani ya Sh. Bilioni 2.8.
Amesema kati ya kiasi hicho Sh. Bilioni 2.1 zimeboresha miundombinu ya elimu, Sh. Milioni 574.3 zimeelekezwa kufadhili mafunzo ya kuendeleza ujuzi (SDF) kwa vijana 600 kutoka kaya maskini.
Naye Mwenyekiti wa Bodi ya TEA, Dkt. Leonard Akwilapo ameshukuru kamati hiyo, kwa kutambua juhudi za mamlaka na kuahidi kusimamia kwa weledi utekelezaji wa miradi yote ya elimu Tanzania Bara na Zanzibar.
Amesema mamlaka hiyo itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali kutafuta rasilimali fedha ili kufadhili miradi mingi zaidi kwa maendeleo ya sekta ya elimu.

You Might Also Like

Kuelekea Uchaguzi Mkuu, Waandishi Watakiwa Kuandika Kwa Usahihi

Kituo Cha Mkutano Cha Kimataifa Mlima Kilimanjaro Kuileta Dunia Tanzania

Serikali Kuboresha , Kuweka Mazingira Wezeshi Kwa Vijana

Kongamano la Kahawa Bora Afrika kufanyika Tanzania Februari mwakani

Muswada Wa Marekebisho Ya Sheria Za Kazi 2024 Wapitishwa

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mpango Asema Tanzania, Korea Kubadilishana Wafanyakazi
Next Article Ridhiwani Aiagiza CMA Kushughulikia Migogoro Kwa Haraka, Ufanisi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?