MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Kamati Ya Bunge Ya Ustawi Na Maendeleo ya Jamii, Yaipongeza Serikali Uwekezaji Kiwanda Cha Chai
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Kamati Ya Bunge Ya Ustawi Na Maendeleo ya Jamii, Yaipongeza Serikali Uwekezaji Kiwanda Cha Chai
Habari

Kamati Ya Bunge Ya Ustawi Na Maendeleo ya Jamii, Yaipongeza Serikali Uwekezaji Kiwanda Cha Chai

Author
By Author
Share
2 Min Read
Ridhiwani Kikwete Aguswa Na Ajira Pamoja Na Uhakika Wa Soko La Chai Kwa Wakulima
Na Mwandishi Wetu
TANGA: UWEKEZAJI uliofanywa na Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF), kwa kushirikiana na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii kwa Wafanyakazi wa Umma (PSSSF), katika Kiwanda cha Chai Mponde, kilichopo Bumbuli Lushoto Tanga, umewezesha ajira kwa wananchi.
Hilo limedhihirika wakati Kamati  ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii,  ilipotembelea kiwanda hicho kwa ajili ya kuona shughuli zinazofanywa na kamati hiyo.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Ridhiwani Kikwete amesema miongoni mwa faida za kiwanda hicho ni pamoja na kutoa ajira kwa wananchi pamoja na uhakika wa soko la chai kwa wakulima.
Naye Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Fatma Toufiq amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa uamuzi wake wa  uwekezaji kwenye kiwanda hico cha Chai Mponde.
Ametoa pongezi hizo alipotembelea kiwanda hicho na wajumbe wa kamati kwa lengo  la kuona namna kiwanda hicho kinavyofanya kazi.
Pia amepongeza mifuko ya WCF na PSSSF  kwa uwekezaji wenye tija wanaoufanya kwenye kiwanda hicho.
Kwa upande wake Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa WCF, Dkt. John Mduma amesema kiwanda hicho kitawawezesha wananchi wa Lushoto, Bumbuli Korogwe na maeneo jirani kupata kipato kitakachowainua kiuchumi kwa kuwa wengi wanategemea zao hilo.
Mmoja wa wakulima wa zao hilo, Mwanyemi Mdoe ameishukuru serikali kwa hatua iliyoichukua ya  kufufua kiwanda hicho, ambacho kinasaidia kukuza Uchumi wao.

You Might Also Like

TPHPA, KEM Wasaini Hati Ya Makubaliano Udhibiti Viuatilifu

TASU yaiomba serikali inunue meli kutoa ajira kwa mabaharia

ALAT Kujadili Ripoti Ya CAG

Msigwa Awataka Wakuu Wa Mikoa Kuandaa Maeneo Ya Upandaji Miti

Erio atoa elimu ya bidhaa bandia kwenye mabanda nanenane

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article
Next Article Afrika yatakiwa kutokuwa na Matabaka katika kutekeleza AFCFTA 
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?