MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Jumuiya ya Wazazi CCM: Uchaguzi Ulikuwa Mgumu
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Jumuiya ya Wazazi CCM: Uchaguzi Ulikuwa Mgumu
Habari

Jumuiya ya Wazazi CCM: Uchaguzi Ulikuwa Mgumu

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
 Na Danson Kaijage
DODOMA: MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Fadhili Maganya, amesema mchakato wa Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 29 mwaka jana 2025, ulikuwa mgumu .
Kauli hiyo ameitoa wakati wa ufunguzi wa kikao kazi cha kikatiba cha Jumuiya ya Wazazi kilichofanyika katika Makao Makuu ya CCM jijini Dodoma.
Maganya amesema Jumuiya ya Wazazi ilifanya kazi kubwa kuhakikisha CCM inapata ushindi wa kishindo, akisisitiza kuwa hatamvumilia mtu yeyote atakayebeza juhudi za jumuiya hiyo.
Ameeleza kuwa wanachama wengi wa Jumuiya ya Wazazi walifanikiwa kushinda nafasi mbalimbali zikiwemo ubunge wa majimbo, viti maalumu, udiwani pamoja na uenyekiti wa halmashauri.
“Nimekuwa mkali kwa wale waliobeza juhudi za jumuiya na nitaendelea kuwa mkali, kwani tulifanya kazi kwa ushirikiano mkubwa kuhakikisha CCM inashinda dola kwa kishindo,” amesema.
Habari Picha 10809
Kwa upande wake, Katibu wa Jumuiya ya Wazazi CCM Taifa, Ally Happi, amesema jumuiya imezalisha idadi kubwa ya wabunge na madiwani.
Habari Picha 10812
Naye Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo Taifa, Dogo Idd Mbarouk, amewakumbusha wanachama kuwa katika siasa hakuna rafiki wala adui wa kudumu, akihimiza ushirikiano na kuepuka makundi.
Wakati huo huo, Baraza Kuu la Umoja wa Wazazi wa CCM limetoa tamko la kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan na Rais wa Zanzibar, Dkt. Ali Hassan Mwinyi, kwa uongozi wao.
Baraza pia limewapongeza viongozi wengine wa juu wa serikali na kuahidi kuendelea kuwaunga mkono katika utekelezaji wa majukumu yao.
Habari Picha 10810

You Might Also Like

Ulega: Miaka 50 ya ILRI imeinufaisha Tanzania 

Baraza La Madiwani Lampongeza Rais Samia Kwa Utekelezaji Wa Ilani

December 5, 2024

Wafanyakazi wa Majumbani Wajengewa Uwezo 

Makamanda Wa Polisi Msiende Nyumbani na Vyeo Vya Ukamanda

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TALGWU Taifa Yataja Kero Saba Kubwa za Watumishi wa Serikali za Mitaa
Next Article TAREWU Wapata Uongozi Mpya
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mbunge Asisitiza Sheria za Majiko Safi Ili Kulinda Mazingira
Habari February 3, 2026
Mwalunenge: Bila Rasilimali Watu Na Mtaji, Mipango Ya Kilimo Haitafanikiwa
Habari February 3, 2026
Gulamali Ahoji Bungeni Changamoto ya Mawasiliano Ilongelo
Makala February 3, 2026
Serikali Yaendelea Kuimarisha Uhuru wa Mahakama – Nchimbi
Habari February 2, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?