MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Jeshi La Polisi Kufanya Ukaguzi Wa Hali Ya Juu Kwa Mashabiki Katika Mechi Za Simba Na Yanga
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Jeshi La Polisi Kufanya Ukaguzi Wa Hali Ya Juu Kwa Mashabiki Katika Mechi Za Simba Na Yanga
Habari

Jeshi La Polisi Kufanya Ukaguzi Wa Hali Ya Juu Kwa Mashabiki Katika Mechi Za Simba Na Yanga

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Lucy Lyatuu

JESHI la Polisi,Kanda Maaalum Ya Dar es Salaam limesema itaimarisha ulinzi kwa siku mbili katika jiji hilo wakati wa mchezo kati ya timu mbili za Simba dhidi ya Nsingizini Hotspurs  ya Eswatini  na timu ya  Yanga na Silver strikers ya Malawi.

 

Kamanda wa Polisi wa Kamda Maalum ya Dar es Salaam, JUmanne Muliro amesema timu hizo zinatarajiwa kucheza kuanzia kesho na keshokutwa katika uwanja wa Taifa ikiw ani mchezo wa marudio baada ya timu hizo kucheza mchezo wa awali.

Akizungumza amesema mechi hizo zinachezwa ikiwa kampeni zinaendelea na Jeshi hilo litafanya ukaguzi maalum kwa mashabiki wakatakaoingia katika uwanja huo  wakitakiwa kutokuwa na aina yoyote ya siliha inayoweza kumuumiza mtu.

Kuhusu timu ya Yanga amesema mchezo huo wa marudiano unatarajiwa kuanza saa 11;00 jioni na Simba ikicheza Jumapili kuanzia saa 10:00 jioni ambapo Jeshi hilo linaamini kutakuwa na mkusanyiko  mkubwa wa idadi ya mashabiki watakaokwenda uwanjani.

“Mchezo unakusanya hizia tofauti na unatarajia kukusanya watu wengi na uwanja una uwezo wa kuhudumia watu zaidi ya 60,000 na jeshi hilo linahitaji kuona kila anayeingia anatoka salama,”amesema.

Amesema bila kujali aina ya matokeo katika michezo hiyo ni lazima watu watoke salama na kwamba Jeshi hilo linawatahadharisha kuwa litaimarisha mifumo ya usalama.

Amesema ukaguzi wa hali ya juu utafanyika kwa michezo yote na kwamba haitakiwi kuwana kitu chochote kinachoweza kusababisha madhara   na kwamba barabara inayopitia Chuo Chuo Kishiriki Cha Elimu Dar es Salaam (DUCE)  itafungwa.

Amesema ni muhimu mashabiki kuwa wastaarabu kwa kuwa soko ni burudani na kwamba kusiwe na aina yoyote ya matusi na ayakayebainika ataaibishwa na Jeshi hilo

 

 

 

You Might Also Like

Mgombea NCCR-Mageuzi Awaasa Watanzania Wasikubali Propaganda

Changamoto ya uelewa mwiba kwa wasafirishaji Comoro

TFRA yazindua Chama cha wafanyabiashara wa Mbolea

Majaliwa awasili Kilimanjaro kufungua semina Mambo ya Ndani

MNH Kuvuna Mifupa Kutengeneza Taya

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mgombea Urais Wa CCM, Dkt. Samia Aendelea Na Kampeni Temeke
Next Article TUCTA: Wafanyakazi Jitokezeni  Kwa Wingi Kwenda Kupiga Kura Mchague Viongozi Watakaolinda  Maslahi Yenu  
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Kituo Cha Umahiri Cha Upandikizaji Figo, Mafunzo, Kujengwa Hospitali Ya Benjamin Mkapa
Habari October 24, 2025
Mwalim: Mchagueni Mwalimu Wangu Wa Siasa Shibuda
Habari October 24, 2025
TUCTA: Wafanyakazi Jitokezeni  Kwa Wingi Kwenda Kupiga Kura Mchague Viongozi Watakaolinda  Maslahi Yenu  
Habari October 24, 2025
Mgombea Urais Wa CCM, Dkt. Samia Aendelea Na Kampeni Temeke
Habari October 23, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?