MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Miradi iliyokamilika ianze kutoa huduma- Nyamoga
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Miradi iliyokamilika ianze kutoa huduma- Nyamoga
Habari

Miradi iliyokamilika ianze kutoa huduma- Nyamoga

Author
By Author
Share
2 Min Read

Nawandishi Wetu

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa – TAMISEMI ikiongozwa na Mwenyekiti wake Justine Nyamoga imeelekeza kuanza kutumika kwa miundominu ambayo imekwisha kamilika ili kutoa huduma iliyokusudiwa kwa wananchi kama ilivyokusudiwa.

Amesema “kumekuwa na wimbi kubwa la miradi ambayo imekamilika lakini haijanza kufanya kazi, hasa katika upande wa vituo vya afya hivyo kamati inaelekeza vianze kutoa huduma haraka”

 

Nyamoga ameyasema hayo katika kikao cha Majumuisho ya ziara ya ukaguzi wa miradi mbalimbali ya afya, elimu na miundombinu inayotekelezwa katika Halmashauri ya wilaya ya Mufindi na Halmashauri ya Mji wa Mafinga mkoani Iringa.

Katika ziara hiyo kamati imetembelea miradi mbalimbali ikiwemo Uboreshaji wa miundombinu ya Hospitali ya Mji Mafinga uliohusisha ujenzi wa jengo la kufulia, jengo la kuhudumia wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalum na jengo la wodi ya wazazi.

Mradi mwingine ni wa ujenzi wa barabara za mwamkoa-mbagala yenye uredu wa kilomita 0.50, mdeka-rift valley kilomita 0.37 na bravo kilomita 0.19 na msangarufu kilomita 0.19 kwa kiwango cha lami katika halmashauri ya mji Mafinga.

Pia kamati imeipongeza Halmashauri ya Mufindi kwa kujenga kituo cha afya chenye gharama ya zaidi shs 500,000,000 ambapo chanzo kikuu cha fedha hiyo ni mapato ya ndani ya Halmashauri.

Aidha kamati imeendelea kusisitiziza uwekaji wa taa za barabarani katika miradi yote ya Barabara ya lami ambayo itakuwa ikitekelezwa na Wakala wa Barabara Vijiji na Mijini (TARURA) ili kuboresha usalama na kupendezesha Maeneo husika.

Kwa upande wake Naibu Waziri ofisi ya Rais TAMISEMI anayeshughulikia Elimu Zainab Katimba amesema Serikali imeyapokea yote yaliotolewa na kamati ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa.

You Might Also Like

WCF Yatakiwa Kuongeza Nguvu Kusajili Waajiri

TASAC yajipanga kuhudumia wafanyabiashara

TRC Yawatoa Hofu Wasafirishaji Mizigo Kwa Malori

Wafanyabiashara 45 Wa Tanzania Wameanza Kutumia Soko La Eneo Huru La Afrika

TEA Kukarabati Jengo La Bodi Ya Maktaba Kwa Milioni 300

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Majaliwa  awataka waandamizi, vyombo vya usalama kutekeleza 4R
Next Article Imarisheni Mkakati Wa Kusimamia Usafi Wa Mazingira-Mhagama
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?