MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Hatuwezi Kukwepa Matumizi Ya Bioteknolojia – Dkt.Nguvila
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Hatuwezi Kukwepa Matumizi Ya Bioteknolojia – Dkt.Nguvila
Habari

Hatuwezi Kukwepa Matumizi Ya Bioteknolojia – Dkt.Nguvila

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi

DAR ES SALAAM: TANZANIA haiwezi kukwepa kutumia bioteknolojia katika kuendeleza sekta mbalimbali za uchumi na huduma kwa jamii.

Hayo yamesemwa na Katibu Tawala Mkoa wa Dar es Salaam, Dkt. Toba Nguvila alipokuwa akimwakilisha Katibu Mkuu, Ofisi ya Makamu wa Rais, Cyprian Luhemeja, katika Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Chama cha Bioteknolojia Tanzania (BST).

Amesema hiyo ni kutokana na ukweli kuwa, nchi zilizowekeza katika bioteknolojia ya kisasa zimeweza kupata faida kubwa katika sekta mbalimbali za uchumi na huduma kwa jamii.

“Utandawazi unaoendelea duniani umefanikisha maendeleo ya teknolojia mbalimbali na ueneaji wake ulimwenguni kote,” amesema.

Amesema pamoja na kwamba Tanzania haiwezi kukwepa baiteknolojia, kuna baadhi ya wadau ambao wana mashaka au wanapinga matumizi ya teknolojia hiyo hususan katika sekta ya kilimo.

“Hali  hii inasababishwa kwa kiasi kikubwa na uelewa mdogo wa dhana ya teknolojia hii hata miongoni mwa wanasiasa, watendaji wa serikali, wataalamu na jamii kwa ujumla,”amesema.

Amesema serikali imeweka mfumo thabiti kuhakikisha kuwa utafiti wa kutumia bioteknolojia ya kisasa unafanyika kwa usalama,

Pia bidhaa zozote zinazotokana na teknolojia zitaruhusiwa kutumika baada ya mamlaka za udhibiti kujiridhisha kuwa bidhaa hizo hazina madhara yeyote kwa afya za binadamu, wanyama na kwa mazingira.

Naye Mwenyekiti wa BST, Profesa Peter Msolla  amesema matumizi ya bioteknolojia duniani yameshika kasi kwa kutambua manufaa makubwa yanayopatikana kwenye kilimo, afya, mifugo, viwanda, mazingira, nishati na mifumo mbalimbali zimechangia ukuaji wa uchumi wa nchi.

0

“Hapa nchini tumeshuhudia ongezeko la bidhaa zitokanazo na bioteknolojia kama viuatilifu, vyakula, mazao na mifugo bora yenye tija kwa mkulima, mbinu za kubadilisha taka za mashambani na viwandani kuwa mbolea na gesi,

“Viuatilifu vya kibiolojia vya kuua viluwiluwi vya mbu, viuatilifu vya kibiolojia kwa ajili ya kuua wadudu waharibifu wanaoshambulia mimea na mazao shambani, hii ikiwa ni mifano michache tu,”amesema.

 

You Might Also Like

TASAC Yashuhudia Utiaji Saini  Mkataba Wa Uendeshaji Bandari Kavu Kwala

Bodi ya mkonge kutoa ajira kwa watu 10,000 ifukapo 2030

BAKITA Lapongeza Sheria Za Tanzania Kuandikwa Kwa Lugha Ya Kiswahili

Sierra Leone Yaipongeza TARURAUjenzi Wa Madaraja, Barabara Za Mawe

Shemdoe aridhika huduma zinazotolewa na TVLA nanenane

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article ‘Skills For Their Future’ Yanufaisha Wanafunzi Zaidi Ya 1000, Walimu 64 
Next Article Kumekucha Uzinduzi wa Washirika wa Tamasha, Tuzo Za Filamu Tanzania 2025
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Tume ya Kurekebisha Sheria Yaelimisha Umma Kuhusu Haki za Wanyama
Habari August 6, 2025
Bundi Wasaidia Kupambana na Panya: Teknolojia Asilia Inayobadili Maisha ya Wakulima
Habari August 6, 2025
Ofisa wa TARI Kuwapo Kila Kituo cha Umwagiliaji – Naibu Katibu Mkuu
Habari August 6, 2025
Mbinu Mpya za Kilimo kwa Vijana Zapata Umaarufu Nanenane Banda La VETA
Habari August 6, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?