MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Endeleeni Kuunganisha Mifumo Ya TEHAMA Ya Kisekta – Kakoso
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Endeleeni Kuunganisha Mifumo Ya TEHAMA Ya Kisekta – Kakoso
Habari

Endeleeni Kuunganisha Mifumo Ya TEHAMA Ya Kisekta – Kakoso

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
DAR ES SALAAM: KAMATI ya Bunge ya Miundombinu imeipongeza Serikali kwa kuanzisha Maabara ya Uidhinishaji wa Vifaa vya Mawasiliano ya Kielektroniki ikiwa ni maabara ya kwanza katika Ukanda wa Afrika Mashariki.
Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Selemani  Kakoso ametoa pongezi hizo wakati Kamati hiyo ilipotembelea Mradi wa Maabara ya Uidhinishaji wa Vifaa vya Mawasiliano ya Kielektroniki unaotekelezwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA).
Kakoso ameitaka Serikali kuendelea kuunganisha mifumo ya TEHAMA ya kisekta ili vifaa vya mawasiliano vinavyoingia nchini viwe na viwango vinavyotakiwa kitaifa, kikanda na kimataifa akitolea mfano wa mifumo ya TCRA na TBS kusomana.
Pia TCRA imeshauriwa kutoa elimu kwa umma kuhusu uwepo na umuhimu wa maabara hiyo ili kumwezesha mwananchi kufahamu ubora wa kifaa cha mawasiliano kabla ya kukinunua.
Pamoja na hilo Kamati imesisitiza kwa mamlaka hiyo  kuendelea kufanya ukaguzi wa kushtukiza mara kwa mara kwa kushirikiana na taasisi mbalimbali za serikali.
Akitoa taarifa ya maabara hiyo, Mkurugenzi Mkuu wa TCRA, Dkt. Jabir Bakari amesema ujenzi wake ulianza Aprili 2023 na kukamilika Machi, 2024 ikiwa ni mwaka mmoja tu kama ulivyopangwa na inafanya kazi katika maeneo mawili ambayo ni eneo la kupima mawimbi ya redio na eneo ya kupima viwango vya mionzi.
Kwa upande wake, Naibu Waziri wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari,  Maryprisca Mahundi  ameishukuru Kamati na kuihakikishia kuwa Wizara imepokea ushauri wote uliotolewa na Kamati kwa ajili ya kuboresha.
Uwepo wa Maabara hiyo nchini kunaifanya Tanzania kuwa nchi ya 12 Barani Afrika,  Nchi nyingine ni Tunisia, Afrika Kusini, Ghana, Nigeria, Cameroon, Benini, Togo, Senegal, Mali na Mauritania.

You Might Also Like

Chukueni Mkopo, Kwenye Taasisi Zilizopewa Leseni Na BOT

Trump Kusitisha Sheria Za AGOA, Afrika Yapata Hasara

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Ajiandikisha Kijijijni Nandagala

GIZ, IUCEA waratibu uchambuzi wa data kidijitali kwa wahitimu

BRELA Yazindua Baraza La Wafanyakazi

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mkurugenzi VETA Kasore Akiteta Jambo Na Mhitimu Fani Ya Ushonaji
Next Article NSSF Kutoa Mafao Siku Moja Baada ya Kustaafu
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?