MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Elimu Ya Dawa Za Kulevya Kutolewa Kwa Wanafunzi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Elimu Ya Dawa Za Kulevya Kutolewa Kwa Wanafunzi
Habari

Elimu Ya Dawa Za Kulevya Kutolewa Kwa Wanafunzi

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Lucy Lyatuu
MAMLAKA ya Dawa Za Kulevya Nchini   (DCEA) imesema Iko kwenyeboperesheninmaalum kuhakikisha wanatoka elimu maalum kwa nchi mzima kwa wanafunzi wa shule za msingi,  sekondari na vyuo Ili kujua aina ya Dawa za Kulevya na kwamba wakikamatwa na dawa hizo Sheria inasema nini.
Kamisha Wa Mamlaka hiyo Areta Lyimo  amesema hayo katika Banda la Mamlaka hiyo lililoko katika  maonesho ya 49 ya Biashara ya kimaraifa maarufu kama sabasaba yanayoendelea Dar es Salaam.
Amesema pamoja na elimu hiyo kwa makundi hayo lakini pia wanafanya operesheni maalum ya kukamata wale wote ambao bado wanaendelea kujihusisha na biashara ya usambazaji na uzalishajibwa dawa hizo lengo likiwa ni kuhakikisha KWAMBA ndani ya kipindi kifupi wanamaliza kabisa tatizo la dawa za Kulevya zinazoingia nchini.
Amesema Kwa Kufanya hivyo itasaidia wale wanafanya biashara hizo kuacha na wale ambao hawajaingia wasiingie na wale ambao tayari kufahanu vituo vya huduma kwa kuwa serikali inatola huduma bure kwa wale walioatgirika,lengo likiwa ni wananchi wote kurudi kwenye mfumo wakiwa na afya njema Ili kuungana kwa pamoja kujenga Uchumi wa nchi.
Kuhusu Hali ya Dawa za Kulevya Nchini amesema Hali inaendelea kuimarika kutokana na operesheni mbalimbali ambazo zimefanywa.
“Hadi sasa kuna baadhinya dawa kama heroine,methanoine na cocaine zimeadimika na kupungua sana nchini na hata kwenye vijiwe na maeneo mbalimbali hakuna waraibu na Wateja wanaokuwa kwenye vituo vya mabasi wakininginia,..Hali ni tofauti,” amesema na kuongeza kuwa hiyo ni kutokana na serikali kuwachukua waraibu kuwa peleka kwenye vituo vya Tiba wakiendelea Kupata huduma bure.

You Might Also Like

Wakili Kanyama Achukua Fomu Mtumba

Waziri Mkuu Majaliwa ndani ya SGR

Trump Ashinda Uchaguzi Marekani

Mwenda: Tupo kwa ajili ya kuzitatua changamoto za wananchi

Kimwaga Mwenyekiti Mpya DCPC, Ahimiza Nidhamu

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Posta Yaleta   Usafiri Wa Kitalii Ndani Ya Sabasaba
Next Article TSB Yatangaza Fursa Za Kilimo, Uwekezaji Wa Mkonge
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Waendelezaji Majengo 103 Kesi Ziko Mahakamani, -AQRNa
Habari July 6, 2025
TSB Yatangaza Fursa Za Kilimo, Uwekezaji Wa Mkonge
Habari July 6, 2025
Posta Yaleta   Usafiri Wa Kitalii Ndani Ya Sabasaba
Habari July 6, 2025
Mradi wa Maadili Katika Utafiti Wa Binadamu Na Huduma Za Afya Wafanywa UDSM kwa Ushirikiano wa Kimataifa
Habari July 6, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?