MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Dodoma Yang’ara Katika Mfumo wa Stakabadhi Ghalani
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Dodoma Yang’ara Katika Mfumo wa Stakabadhi Ghalani
Habari

Dodoma Yang’ara Katika Mfumo wa Stakabadhi Ghalani

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
3 Min Read
Wakulima Wafaidika na Mapato Yaongezeka
Na Lucy Ngowi
DODOMA: MKOA wa Dodoma umeendelea kung’ara katika utekelezaji wa mfumo wa stakabadhi ghalani, ambapo zaidi ya tani 1,000 za mazao ziliuzwa kupitia mfumo huo.
Mrajis wa Vyama vya Ushirika Mkoa wa Dodoma, Joseph Chitinka amesema leo katika viwanja vya maonesho vya Nanenane Nzuguni Dodoma.
Amesema mafanikio hayo yamewanufaisha wakulima kwa kuongeza kipato chao, huku serikali ikipata mapato ya kutosha kutokana na shughuli hizo.
Amesema mfumo huu umeleta mabadiliko makubwa ya kiuchumi kwa wakulima wadogo ambao sasa wanaweza kuuza mazao yao kwa bei nzuri na kwa uhakika.
“Tumeweza kufanya transformation ya maisha hasa ya wakulima wadogo kutoka hatua moja kwenda nyingine,” amesema.
Amesema Mkoa wa Dodoma una jumla ya vyama 126 vya ushirika, ambapo kati ya hivyo, 27 vinajihusisha moja kwa moja na kilimo. Pia, kuna zaidi ya SACCOs 70 zinazojumuisha zile za mahala pa kazi pamoja na za kijamii zinazowahudumia wananchi wa kawaida, wajasiriamali, na wafanyabiashara.
“Mkoa huu umeendelea kuimarika katika uzalishaji wa mazao matano makuu ambayo ni ufuta, choroko, mbaazi, dengu na zabibu.
“Zabibu inatajwa kuwa ni zao la kipekee na fahari ya mkoa huo. Wadau wa zao hilo wamefanikiwa kuongeza thamani kwa kutengeneza bidhaa mbalimbali kama mchuzi wa zabibu kwa ajili ya kutengeneza wine,” amesema..
Amesema hadi sasa, kuna viwanda viwili vinavyoongeza thamani ya zabibu mkoani Dodoma.
Amesema mchuzi wa zabibu umevutia soko kubwa, ikiwemo kwa wafanyabiashara wakubwa wanaousafirisha hadi nje ya nchi kwa ajili ya kutengeneza wine.
Katika maonyesho ya mwaka huu, vyama vya ushirika vya zabibu vimeshiriki kikamilifu na kuuza bidhaa zao kwa wingi, jambo lililowawezesha kupata kipato na kuimarika kiuchumi.
Aidha, mkoa wa Dodoma umeanza maandalizi ya ukusanyaji wa mazao ya mbaazi, choroko na dengu kwenye maghala mbalimbali, na minada inatarajiwa kuanza katikati ya mwezi huu.
Chitinka amesema ushirika wa kuweka na kukopa umekuwa sehemu muhimu ya maendeleo ya kiuchumi ya wakazi wa Dodoma, ambapo SACCOs mbalimbali zimeweza kutoa mikopo kwa wanachama, kuwainua wajasiriamali na wafanyabiashara, na kuhamasisha watu zaidi kujiunga na vyama vya ushirika.

You Might Also Like

Rais Samia Atoa Bil. Nne Ujenzi Kiwanda Cha Kuzalisha  Nishati Mbadala  

Elimu Itolewe Kuhusu Ufahamu Wa Kuwepo Kwa Fedha Maalum – Ridhiwani

Wafanyakazi waitwa kupeleka changamoto za kikazi CMA

CHAUMMA Yataka Kuvunja Bodi ya Korosho, Kuunda Mamlaka Mpya ya Mazao ya Kimkakati

Baraza La Wafanyakazi Ni Kama Bunge – Magoiga

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Samia, Nchimbi Kuchukua Fomu Ya Urais Kesho
Next Article Sheikh wa Mkoa, ‘Wanaotoa Rushwa Msiwachague’
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Vitabu Vya Sauti Kuvutia Vijana, Serikali Yapongeza Ubunifu Wa Mkuki Na Nyota
Habari November 22, 2025
Ubora Wa E & D Vision Publishing Wamkuna Waziri Kabudi Maonyesho Ya Vitabu Dar
Habari November 22, 2025
Kabudi: Vitabu Ni Tiba, Atoa Wito Kuimarisha Maktaba, Uchapaji 
Habari November 22, 2025
Kwagila Awataka Wasimamizi Wa Elimu TAMISEMI Kuwajibika Kikamilifu
Habari November 21, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?