MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Dkt. Komba: Mfumo wa kidijitali utaleta tija kwa mkulima
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Dkt. Komba: Mfumo wa kidijitali utaleta tija kwa mkulima
Habari

Dkt. Komba: Mfumo wa kidijitali utaleta tija kwa mkulima

Author
By Author
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi
DODOMA:MFUMO wa kidijitali umeanza kutumika katika kupima mahindi ili kuleta tija kwa mkulima.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Uhifadhi wa Chakula nchini ( NFRA), Dkt. Andrew Komba amesema hayo katika Maonesho ya Wakulima, Wafugaji na Wavuvi yaliyoanza Agosti mosi na kufikia kilele chake Agosti nane, mwaka huu.
Amesema mfumo huo wa kidijitali  unaonesha namna ambavyo mkulima atapata faida na uhakika wa mazao anayouza NFRA.
“Wakulima wameipokea mizani hii vizuri wakiamini kwamba inawawezesha kupata kiwango sahihi wanachotuuzia na sisi kwetu inatupa  kumbukumbu sahihi kwa sababu inaingiza taarifa katika mfumo ambao unatumika katika suala zima la kuhifadhi,” amesema.
Pia amesema ,Wakala huo una jukumu la kuhakikisha nchi inakuwa na usalama wa chakula .
Kwa mujibu wa Dkt.Komba,ili kulitekeleza jukumu hilo NFRA wamekuwa wakinunua na kukusanya chakula na kuhifadhi vizuri kwa utaratibu wa kuhakikisha afya na usalama wa mlaji.
“Ili kuhakikisha chakula kinakuwa salama wakati wote ,tunatumia maghala na vihenge katika kuhifadhi chakula,lakini pia tunawafundisha wakulima kuhifadhi chakula wanacholima katika hali ya usalama badala ya kuhifadhi kizamani.”amesema Dkt.Komba
Maelezo yake ni kwamba, chakula wanachohifadhi kinalenga kuisaidia jamii pale panapotokea uhaba wa chakula na kuwafanya wawe na uhakika wa chakula.

You Might Also Like

Uwepo mwongozo kupima wagonjwa zaidi

Miradi iliyokamilika ianze kutoa huduma- Nyamoga

IITA Kuleta Mabadiliko Ya Kilimo Afrika

Serikali Kuendelea Kutenga Fedha Kwa ajili ya Ukamilishaji wa Maboma ya Vituo vya Afya

Ulega: Miaka 50 ya ILRI imeinufaisha Tanzania 

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Dkt. Bwana: Tunafanya utafiti wa mbegu kutatua changamoto za wakulima
Next Article
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

TPHPA Yaleta Mapinduzi Mapya Katika Kilimo Kupitia Teknolojia ya Vinasaba
Habari August 7, 2025
Tulia Atoa Taarifa Kifo Cha Ndugai
Habari August 6, 2025
Tume ya Kurekebisha Sheria Yaelimisha Umma Kuhusu Haki za Wanyama
Habari August 6, 2025
Bundi Wasaidia Kupambana na Panya: Teknolojia Asilia Inayobadili Maisha ya Wakulima
Habari August 6, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?