MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Dkt. Biteko Afuta Likizo Za Watumishi Wote Tanesco
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Makala > Dkt. Biteko Afuta Likizo Za Watumishi Wote Tanesco
Makala

Dkt. Biteko Afuta Likizo Za Watumishi Wote Tanesco

Author
By Author
Share
3 Min Read

MATUKIO YA UWAJIBIKAJI YALIYOTOKEA KUANZIA JANUARI 2024 HADI DISEMBA 2024

JANUARI 27,2024: Waziri Utalii Zanzibar Simai ajiuzulu

Waziri wa Utalii na Mambo ya kale wa Zanzibar, Simai Mohamed Said amejiuzulu.

Kulingana na picha mjongeo zilizosambazwa na Simai mwenyewe, mwanasiasa huyo alisema kuwa amemwandikia Rais wa Zanzibar Hussein Mwinyi barua hiyo ya kujiuzulu, huku akilalamikia mazingira yasiyo rafiki katika utekelezaj wa majukumu yake ya kila siku.

“Nimefikia uamuzi huu ambao ni mgumu kwa utamaduni kwa Kizanzibari, kutokana na imani yangu kuwa jukumu namba moja la wasaidizi wa Rais, wakiwemo mawaziri ni kumsaidia katika kutekeleza ilani ya chama tawala na ikitokea mazingira yasiyo rafiki katika kutekeleza jukumu hilo muhimu kwa ustawi wa wananchi, ni vyema kutafuta jawabu kwa haraka ili kazi ya kuwaletea wananchi maendeleo iweze kuendelea, na hata ikibidi kukaa pembeni,”.

FEBRUARI 23,2024: Dkt. Biteko afuta likizo za watumishi wote tanesco

Naibu Waziri Mkuu, Dkt. Doto Biteko ametangaza kufuta likizo kwa watumishi wote wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) akiwataka wote wawe kazini kukabiliana na changamoto ya upungufu wa umeme.

Amesema hakuna mtumishi wa Tanesco atatakiwa kwenda likizo wakati huu wa changamoto ya mgawo wa umeme na kwamba, kila mmoja kwenye eneo lake atatakiwa kufanya kazi kwa bidii.

Biteko, ambaye pia ni Waziri wa Nishati ametoa agizo hilo leo Ijumaa, Februari 23, 2024 wakati alipotembelea chanzo cha kuzalisha umeme cha Kidato mkoani Morogoro.

Hatua hiyo ya Biteko imetokana na kupewa taarifa kwamba, Meneja wa Tanesco Mkoa wa Morogoro, kuwa amekwenda likizo.

JUNI 12, 2024: Mkuu wa Mkoa Simiyu atenguliwa

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Mkuu wa Wilaya ya Momba, Kenani Kihongosi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu akichukua nafasi ya Dk. Yahaya Nawanda ambaye uteuzi wake umetenguliwa.

JUNI 18, 2024: Spika Tulia ampeleka Mpina Kamati ya maadili

Spika wa Bunge Tulia Ackson ameelekeza Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kumhoji mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kwa madai ya utovu wa nidhamu.

Akitangaza uamuzi huo bungeni jijini Dodoma leo Jumanne, Juni 18, 2024 Tulia amesema kuwa Mpina amedharau mamlaka ya Spika na Bunge kwa kufanya vitendo vya utovu wa nidhamu.

Itakumbukwa Mpina alipewa wiki moja kuwasilisha ushahidi wake baada ya kulieleza Bunge kuwa Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amelidanganya bunge katika sakata la uagizaji wa sukari.
JULAI 6,2024 :Samia: Nimemuondoa Kidata TRA, angedata

 Rais Samia Suluhu Hassan ametoa sababu za kumuondoa aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Alphayo Kidata kwa kusema aliona mwisho wa siku ‘atadata’ (atachanganyikiwa).

Imeandaliwa na Lucy Ngowi

You Might Also Like

Polisi Dar yashikilia watatu kwa mauaji ya mfanyakazi wa Kampuni ya Hope Recycling

MATUKIO YA MISIBA KWA WATU MAARUFU YALIYOJIRI KUANZIA JANUARI 2024, HADI DISEMBA 2024

Kinywaji Cha China Chavuka Mipaka Chatua Tanzania

Akili Bandia Yachochea Ushirikiano Kati Ya China, Afrika

Rais Samia ametekeleza kwa vitendo falsafa ‘kazi iendelee’

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article BAADHI YA MATUKIO YA KISIASA YALIYORIPOTIWA KUANZIA JANUARI 2024 HADI DISEMBA 2024;
Next Article CCCC Yakutana na Wanahabari, Yapanga Mikakati Mipya 2025
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?