MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: DIT kudhibiti nzi wa maembe kisasa
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > DIT kudhibiti nzi wa maembe kisasa
Habari

DIT kudhibiti nzi wa maembe kisasa

Author
By Author
Share
1 Min Read

Na Lucy Ngowi

DAR ES SALAAM; MTEGO wa kisasa wa nzi wa maembe umebuniwa na Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT), wenye uwezo wa kupiga picha, kuzichakata, kutambua aina ya mdudu ikiwa ni pamoja na kuhesabu wadudu walionaswa.
  
Mhadhiri kutoka Idara ya Mawasiliano Angani DIT, Dkt. Mbazingwa Mkiramweni amesema hayo alipozungumza na Mwandishi wa habari hii.
Dkt. Mkiramweni amesema, “Mtego tulioutengeneza unakamata wadudu na kuwaua kama ambavyo sasa hivi wakulima wanatumia mtego wa makopo ya kawaida kwa kuweka dawa inayovutia nzi hao umbali wa mita 100 kutoka mtego ulipo.
“Kwa hiyo mtego wetu unapiga picha mara mbili kwa siku. Utapiga mchana na kuhesabu umekamata wadudu wangapi. Utapiga na jioni utahesabu vile vile.
” Kisha idadi iliyopatikana inatumwa kupitia teknolojia . Unaweza kuona taarifa hiyo popote ulipo kupitia simu au komputa ukiunganisha mtandao,” amesema.
Amesema teknolojia hiyo waliyoibuni inaweza kunyumbulisha na kuonyesha kwa siku wadudu wamepatikana wangapi, kwa wiki, kwa mwezi hata kwa mwaka.
Amesema wametafiti mtego huo kwa kuwa nzi hao wamekuwa wakiharibu maembe na kusababisha hasara kubwa kwa wakulima na taifa.
Kwani wakulima hushindwa kufanya biashara ndani na nje ya nchi kwa sababu ya uharibifu unaofanywa na nzi hao.

You Might Also Like

Polisi Yaimarisha Usalama Timu za Simba na Yanga Kesho

Matokeo Ya Usaili TRA Kutangazwa April 25,2025

Watumishi wa Umma Watakiwa Kuwa na Nidhamu, Ubunifu

CCCC Yaandaa Tamasha La Dragon Boat

Kadi za mpiga kura zenye jina la zamani la Tume ni halali

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article China yatoa elimu ya ujenzi kwa wanafunzi Baobab
Next Article Uzalishaji wa chuma kuanza nchini 
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Waziri Mkuu Majaliwa Akabidhi Tuzo kwa BoT Geita
Habari September 22, 2025
BoT Yarahisisha Uuzaji wa Dhahabu kwa Wachimbaji, Yatoa Punguzo La Mrabaha
Habari September 22, 2025
Waziri Mkuu Apongeza Huduma Kidijitali za NSSF, Maonesho Ya Madini Geita
Habari September 22, 2025
Mkuu Wa Mkoa Shinyanga Asifu Kazi Ya Bodi Bima Ya Amana
Habari September 22, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?