MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: DIT kudhibiti nzi wa maembe kisasa
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > DIT kudhibiti nzi wa maembe kisasa
Habari

DIT kudhibiti nzi wa maembe kisasa

Author
By Author
Share
1 Min Read

Na Lucy Ngowi

DAR ES SALAAM; MTEGO wa kisasa wa nzi wa maembe umebuniwa na Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT), wenye uwezo wa kupiga picha, kuzichakata, kutambua aina ya mdudu ikiwa ni pamoja na kuhesabu wadudu walionaswa.
  
Mhadhiri kutoka Idara ya Mawasiliano Angani DIT, Dkt. Mbazingwa Mkiramweni amesema hayo alipozungumza na Mwandishi wa habari hii.
Dkt. Mkiramweni amesema, “Mtego tulioutengeneza unakamata wadudu na kuwaua kama ambavyo sasa hivi wakulima wanatumia mtego wa makopo ya kawaida kwa kuweka dawa inayovutia nzi hao umbali wa mita 100 kutoka mtego ulipo.
“Kwa hiyo mtego wetu unapiga picha mara mbili kwa siku. Utapiga mchana na kuhesabu umekamata wadudu wangapi. Utapiga na jioni utahesabu vile vile.
” Kisha idadi iliyopatikana inatumwa kupitia teknolojia . Unaweza kuona taarifa hiyo popote ulipo kupitia simu au komputa ukiunganisha mtandao,” amesema.
Amesema teknolojia hiyo waliyoibuni inaweza kunyumbulisha na kuonyesha kwa siku wadudu wamepatikana wangapi, kwa wiki, kwa mwezi hata kwa mwaka.
Amesema wametafiti mtego huo kwa kuwa nzi hao wamekuwa wakiharibu maembe na kusababisha hasara kubwa kwa wakulima na taifa.
Kwani wakulima hushindwa kufanya biashara ndani na nje ya nchi kwa sababu ya uharibifu unaofanywa na nzi hao.

You Might Also Like

NSSF Yajivunia Kasi Ya Ufanisi Na Mafanikio Miaka Minne Ya Rais Samia

TASAC yajipanga kuhudumia wafanyabiashara

Ndunguru: Mabadiliko Ya Tabianchi Yanachangia Kuwepo Kwa Magonjwa, Wadudu Kwenye Mazao

Wafanyakazi Wakumbushwa Kujitokeza. Kwa Wingi Kupiga Kura

Bodi Ya Wadhamini Ya NSSF Yaridhishwa Na Uwekezaji Wa Ubia Na Jeshi La Magereza

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article China yatoa elimu ya ujenzi kwa wanafunzi Baobab
Next Article Uzalishaji wa chuma kuanza nchini 
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

TPHPA Yaleta Mapinduzi Mapya Katika Kilimo Kupitia Teknolojia ya Vinasaba
Habari August 7, 2025
Tulia Atoa Taarifa Kifo Cha Ndugai
Habari August 6, 2025
Tume ya Kurekebisha Sheria Yaelimisha Umma Kuhusu Haki za Wanyama
Habari August 6, 2025
Bundi Wasaidia Kupambana na Panya: Teknolojia Asilia Inayobadili Maisha ya Wakulima
Habari August 6, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?