MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: DIT kudhibiti nzi wa maembe kisasa
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > DIT kudhibiti nzi wa maembe kisasa
Habari

DIT kudhibiti nzi wa maembe kisasa

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read

Na Lucy Ngowi

DAR ES SALAAM; MTEGO wa kisasa wa nzi wa maembe umebuniwa na Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT), wenye uwezo wa kupiga picha, kuzichakata, kutambua aina ya mdudu ikiwa ni pamoja na kuhesabu wadudu walionaswa.
  
Mhadhiri kutoka Idara ya Mawasiliano Angani DIT, Dkt. Mbazingwa Mkiramweni amesema hayo alipozungumza na Mwandishi wa habari hii.
Dkt. Mkiramweni amesema, “Mtego tulioutengeneza unakamata wadudu na kuwaua kama ambavyo sasa hivi wakulima wanatumia mtego wa makopo ya kawaida kwa kuweka dawa inayovutia nzi hao umbali wa mita 100 kutoka mtego ulipo.
“Kwa hiyo mtego wetu unapiga picha mara mbili kwa siku. Utapiga mchana na kuhesabu umekamata wadudu wangapi. Utapiga na jioni utahesabu vile vile.
” Kisha idadi iliyopatikana inatumwa kupitia teknolojia . Unaweza kuona taarifa hiyo popote ulipo kupitia simu au komputa ukiunganisha mtandao,” amesema.
Amesema teknolojia hiyo waliyoibuni inaweza kunyumbulisha na kuonyesha kwa siku wadudu wamepatikana wangapi, kwa wiki, kwa mwezi hata kwa mwaka.
Amesema wametafiti mtego huo kwa kuwa nzi hao wamekuwa wakiharibu maembe na kusababisha hasara kubwa kwa wakulima na taifa.
Kwani wakulima hushindwa kufanya biashara ndani na nje ya nchi kwa sababu ya uharibifu unaofanywa na nzi hao.

You Might Also Like

Shibuda: WanaMaswa jitokezeni kupiga kura bila woga

Tanzania Yaibuka Kidedea Maonesho Zambia

Salum Mwalim: Hakuna Mtu, Taasisi Inayoweza Kuzuia Uchaguzi

Rais Samia Atoa Bil. Nne Ujenzi Kiwanda Cha Kuzalisha  Nishati Mbadala  

TSB, Wizara ya kilimo yaweka mpango wa vituo vya usindikaji mkonge

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article China yatoa elimu ya ujenzi kwa wanafunzi Baobab
Next Article Uzalishaji wa chuma kuanza nchini 
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

CAG Aipongeza TARURA Kwa Ujenzi Wa Miundombinu
Habari January 9, 2026
Tuna Deni La Kusimamia Miradi Na Kusikiliza Kero za wananchi Ili Kuleta Maendeleo Ya Kweli-Salome
Habari January 9, 2026
Rais Dkt Samia Azindua Majengo Ya Kisasa
Habari January 8, 2026
TEA, UNICEF Watekeleza Miradi ya Elimu Visawani Zanzibar
Habari January 8, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?