MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Chalamila Akabidhi milioni 100, saruji Kukamilisha Zahanati
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Chalamila Akabidhi milioni 100, saruji Kukamilisha Zahanati
Habari

Chalamila Akabidhi milioni 100, saruji Kukamilisha Zahanati

Author
By Author
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi
DAR ES SALAAM: MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amekabidhi Sh. Milioni 100 alizoahidi kwa wakazi wa Saranga Wilaya ya Ubungo, kutekeleza ahadi yake aliyoitoa katika ziara aliyoifanya.
Chalamila amekabidhi fedha hizo ili kukamilisha ujenzi kwani eneo hilo kuna changamoto ya  Zahanati kwa kipindi kirefu licha ya kuwa na wakazi wengi wanaohitaji huduma ya Afya.
Vilevile Chalamila amekabidhi mifuko ya Saruji ili ujenzi wa zahanati hiyo uanze mara moja kwa kuwa tayari jengo hilo lilishaanza kujengwa kinachotakiwa kufanyika ni ukamilishaji wake ili lifikie hatua ya kupaua.
Katika hatua nyingine,  Chalamila ametembelea na kukagua barabara za Masaki wilaya ya Kinondoni na kukemea matumizi holela ya maeneo ya hifadhi ya barabara.
Pia uwekaji holela wa mabango ya matangazo barabarani, matumizi holela ya maeneo ya wazi, na ufanyaji holela wa biashara ambapo amesema Masaki ni eneo “Prime” kila kinachofanyika ni vema kuzingatia vigezo ambavyo ni rafiki.

You Might Also Like

Rais Samia azindua skuli ya maandalizi Tasani

Serikali Inaendelea Kutekeleza Mradi wa Kupeleka Umeme Grid Ya Mtwara Na Lindi- Kapinga

Bunge lapitisha muswada marekebisho ya sheria za Hifadhi ya Jamii

Mkandarasi wa mradi wa REGROW, Kilolo  atakiwa kuongeza Kasi.

Ndunguru: Mabadiliko Ya Tabianchi Yanachangia Kuwepo Kwa Magonjwa, Wadudu Kwenye Mazao

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Simbachawene Asema Serikali Yajivunia Mafanikio TASAF
Next Article Chalamila: Ujenzi Daraja La Jangwani Waanza
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?