MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Chalamila Akabidhi milioni 100, saruji Kukamilisha Zahanati
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Chalamila Akabidhi milioni 100, saruji Kukamilisha Zahanati
Habari

Chalamila Akabidhi milioni 100, saruji Kukamilisha Zahanati

Author
By Author
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi
DAR ES SALAAM: MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amekabidhi Sh. Milioni 100 alizoahidi kwa wakazi wa Saranga Wilaya ya Ubungo, kutekeleza ahadi yake aliyoitoa katika ziara aliyoifanya.
Chalamila amekabidhi fedha hizo ili kukamilisha ujenzi kwani eneo hilo kuna changamoto ya  Zahanati kwa kipindi kirefu licha ya kuwa na wakazi wengi wanaohitaji huduma ya Afya.
Vilevile Chalamila amekabidhi mifuko ya Saruji ili ujenzi wa zahanati hiyo uanze mara moja kwa kuwa tayari jengo hilo lilishaanza kujengwa kinachotakiwa kufanyika ni ukamilishaji wake ili lifikie hatua ya kupaua.
Katika hatua nyingine,  Chalamila ametembelea na kukagua barabara za Masaki wilaya ya Kinondoni na kukemea matumizi holela ya maeneo ya hifadhi ya barabara.
Pia uwekaji holela wa mabango ya matangazo barabarani, matumizi holela ya maeneo ya wazi, na ufanyaji holela wa biashara ambapo amesema Masaki ni eneo “Prime” kila kinachofanyika ni vema kuzingatia vigezo ambavyo ni rafiki.

You Might Also Like

Tido Mhando: Marufuku Kuwasilisha Vyeti, Nyaraka Za Kughushi Maombi ya Ithibati, Press Card

October 2, 2024

Silinde Akabidhi Nyaraka za Kufungua Masoko Mapya Nje ya Nchi

Kasulu DC Yapongezwa Kwa Kupata Hati Safi

TARI Yakutanisha Wadau Afya Ya Udongo

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Simbachawene Asema Serikali Yajivunia Mafanikio TASAF
Next Article Chalamila: Ujenzi Daraja La Jangwani Waanza
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mramba Afungua Mafunzo Ya Teknolojia Ya Nishati Jua Kwa Watalaam
Habari August 7, 2025
Mbegu Bora za Miwa Zenye Tija ya Tani 200 kwa Hekta Zaendelea Kuwanufaisha Wakulima
Habari August 7, 2025
Mbegu Bora za Mpunga Zazalishwa TARI Dakawa, Ifakara
Habari August 7, 2025
Mtego wa Inzi Wa Matunda Suluhisho Salama kwa Wakulima
Habari August 7, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?