MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Bashungwa Asema Wafungwa Kupewa Mafunzo Ya Ufundi Stadi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Bashungwa Asema Wafungwa Kupewa Mafunzo Ya Ufundi Stadi
Habari

Bashungwa Asema Wafungwa Kupewa Mafunzo Ya Ufundi Stadi

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
DODOMA: JESHI la Magereza limetakiwa kusimamia kikamilifu mpango wa kuwapa ujuzi na mafunzo ya ufundi stadi wafungwa wanapokuwa gerezani.
Aidha wafungwa hao watakaohitimu mafunzo watatunukiwa vyeti vinavyotambuliwa na Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi stadi (VETA), wanapomaliza vifungo vyao ili kuwajengea uwezo wa kujitegemea wanaporudi katika jamii.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innnocent Bashungwa ameeleza hayo alipofanya ziara ya kikazi Makao Makuu ya Jeshi la Magereza, Dodoma.
Bashungwa amesema Jeshi hilo kwa kushirikiana na VETA litaanza utekelezaji wa mpango wa kuwapa mafunzo Wafungwa wanapokuwa gerezani.
Amesema mpango huo ni utekelezaji wa maelekezo ya  Rais, Samia Suluhu Hassan kwa Jeshi la hilo.
“Mheshimiwa Rais alitoa maelekezo kwa Kamishna Jenerali wa Magereza, kuwapa ujuzi kwa kuwaendeleza wanaoingia gerezani na ujuzi,
“Lakini wale wanaoingia hawana ujuzi kabisa, kuangalia namna ya kuwapa ujuzi ili wanapotokaa waweze  kujikimu kimaisha,” amesema.
Katika hatua nyingine Waziri Bashungwa, amemshukuru Rais Samia kwa kuendelea kuliboresha Jjeshi hilo kwa kulipatia vifaa na vitendea kazi, pamoja na mabasi saba ya kusafirisha maabusu ambayo ameyazindua.
Bashungwa baada ya kuzindua mabasi hayo, amemtaka Kamishna Jenerali wa Magereza Jeremiah Katungu na menejimenti kusimamia na kutunza mabasi hayo.
Naye Kamishna Jenerali wa Magereza Jeremiah Katungu ameishukuru Serikali kwa kuliwezesha jeshi hilo.  kununua magari mapya ikiwa pamoja ya mabasi ya kusafirisha mahabusu kutoka gerezani kwenda mahakamani ili kuwasaidia watuhumiwa kesi zao kusikilizwa na haki kutendeka kwa wakati.

You Might Also Like

Rais Samia Aungwe Mkono Ajenda Ya Nishati Safi Ya Kupikia-Makongoro Nyerere

Majaliwa: Anwani Za Makazi Kupunguza  Safari Kwa Viongozi

Tume ya Kurekebisha Sheria Yaelimisha Umma Kuhusu Haki za Wanyama

Sheikh Akemea Wanawake,Wanaume Wanaovaa Vibaya 

Profesa Nombo Atembelea Banda la UDSM, 88 Dodoma

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Kuelekea Uchaguzi Mkuu, Waandishi Watakiwa Kuandika Kwa Usahihi
Next Article Ridhiwani Awashika Mkono Wenye Mahitaji Maalum
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

CAG Aipongeza TARURA Kwa Ujenzi Wa Miundombinu
Habari January 9, 2026
Tuna Deni La Kusimamia Miradi Na Kusikiliza Kero za wananchi Ili Kuleta Maendeleo Ya Kweli-Salome
Habari January 9, 2026
Rais Dkt Samia Azindua Majengo Ya Kisasa
Habari January 8, 2026
TEA, UNICEF Watekeleza Miradi ya Elimu Visawani Zanzibar
Habari January 8, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?