MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Baraza La Madiwani Lampongeza Rais Samia Kwa Utekelezaji Wa Ilani
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Baraza La Madiwani Lampongeza Rais Samia Kwa Utekelezaji Wa Ilani
Habari

Baraza La Madiwani Lampongeza Rais Samia Kwa Utekelezaji Wa Ilani

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
KIGOMA: BARAZA la Madiwani na Menejimenti ya Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu limempongeza Rais Samia Suluhu Hassan, kwa kupeleka fedha nyingi za utekelezaji wa miradi mikubwa ya  maendeleo katika halmashauri hiyo.
Aidha baraza hilo na menejimenti limechangia Sh. Milioni moja kwa ajili ya Samia kuchukua fomu ya kugombea Urais,
Na Sh. 577,000 kwa ajili ya Mbunge wa Jimbo la Kasulu Vijijini, Vuma Olle kuchukua fomu ya kugombea ubunge katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu.
Akizungumza katika Kikao cha Robo Mwaka, Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo, Eliya Kagoma amesema
 ni ukweli usiopingika kuwa Rais Samia amefanya kazi kubwa ya maendeleo wilayani humo.
–
Naye Mkurugenzi Mtendaji wa halmsahuri hiyo, Dkt.Semistatus  Mashimba akizungumza kwa niaba ya watendaji wa Halmashauri, amesema  wanaungana na Baraza hilo katika kumpongeza Rais Samia kwa fedha nyingi alizozipeleka kutekeleza miradi mikubwa ya maendeleo inayowanufaosha wananchi.
Kwa upande wake, Katibu wa CCM Wilaya ya Kasulu, Jennifer Chinguile amepokea mchango huo kwa niaba ya chama na kuahidi kuuwasilisha kwa Katibu Mkuu wa CCM,Balozi Emmanuel Nchimbi kabla ya mkutano mkuu unaotarajiwa kufanyika badae mwezi huu.
Katibu wa Mbunge wa Jimbo la Kasulu Vijijini, Simon Nzibuje ametoa shukrani kwa mchango huo na kuhaidi kuufikisha kwa mhusika.
Akitoa salamu za serkali, Mkuu wa Wilaya ya Kasulu, Kanali Isaac Mwakisu amewataka wananchi kuwa na taadhari na kuhakikisha wanatunza chakula kutokana na hali isiyoridhisha ya usalama wa chakula kwa sasa.

You Might Also Like

Baraza la uuguzi na ukunga lawakaribisha wenye malalamiko

Rais Samia Kushiriki Mkutano Wa Wakuu Wa Nchi Ethiopia

COSOTA Yapokea Migogoro 136 Ndani Ya Miaka Minne

Wanafunzi Kutoka Veta Kushiriki Mafunzo Japan

Wanawake Pelekeni Batiki Kwenye Soko Huru La Afrika

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Bodi Ya Wadhamini Ya NSSF Yaridhishwa Na Uwekezaji Wa Ubia Na Jeshi La Magereza
Next Article Jaffo Aagiza Kufufuliwa Vilivyokuwa Viwanda Vya Serikali
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mchumi Ajitosa Kuwania Ubunge Manyoni
Habari July 1, 2025
Msomi Wa Afya, Fatuma Atia Nia Jimbo la Dodoma Mjini
Habari July 1, 2025
Dkt. Mashimba Achukua Fomu Ya Kuwania Nafasi Ya Ubunge
Habari July 1, 2025
TPHPA, MUCE Wasaini Hati Ya Makubaliano Maeneo Yanayogusa Sayansi
Habari July 1, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?