MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Askari Wawili wa JWTZ Wafariki, Wanne Wajeruhiwa DRC
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Askari Wawili wa JWTZ Wafariki, Wanne Wajeruhiwa DRC
Habari

Askari Wawili wa JWTZ Wafariki, Wanne Wajeruhiwa DRC

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
DODOMA: ASKARI wawili wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), wamefariki, na wengine wanne kujeruhiwa katika mashambulizi ya mfululizo katika maeneo ya Sake na Goma, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Kongo ( DRC) yaliyofanywa na waasi wa M23 Januari 24 na 28, mwaka huu 2025.
Kaimu Mkurugenzi  wa Habari na Uhusiamo JWTZ, Kanali Gaudentius Ilonda amesema hayo katika taarifa aliyoitoa kwa vyombo vya habari.
Kanali Ilonda amesema majeruhi hao wanne wanaendelea kupatiwa matibabu  mjini Goma,
“Taratibu za kusafirisha miili ya marehemu wetu pamoja na majeruhi waliotokana na mapigano hayo zinaendelea kupitia Sekretareti ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrka (SADC), Mwenyezi Mungu awake uponyaji wa haraka majeruhi wetu,” imesema taarifa hiyo.
Amesema vikundi vya JWTZ vilivyoko nchini DRC, vipo salama, imara na vinaendelea kutekeleza majukumu yake kwa maelekezo ya uongozi wa SADC.
Amesema JWTZ  limekuwa likishiriki shughuli za ulinzi wa amani chini ya mwavuli wa Umoja wa Mataifa na Jumuiya za Kikanda ikiwemo SADC.
“JWTZ limeshiriki kulinda amani katika nchi mbalimbali ikiwa ni pamoja na Lebanon, Sudan, Jamhuri ya Afrika ya Kati, Liberia, Msumbiji pamoja Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo  ( DRC),” amesema.
Pia JWTZ linaendelea kulinda amani kwa mwamvuli wa Jumuiya ya Naendeleo  Kusini mwa Afrika huko Mashariki mwa nchi ya DRC, eneo ambalo limekumbwa na mgogoro uliozua mashambulizi kati ya waasi wa M23, wanaopambaba na jeshi la DRC katika maeneo hayo.

You Might Also Like

TARI Yawafikia Wakulima Kilosa, Kilimo Shadidi Cha Mpunga

Hali Ya Ulinzi Na Usalama Wa Mipaka Ni Salama

Simbachawene: Simu za mkononi zinaondoa umakini kwa watumishi wa umma

Tumeanza Kufanyia Kazi Maelekezo Ya Rais Samia – Bashungwa

SADC Yatathmini Maendeleo ya Mpango wa RISDP Katika Mkutano wa 45 Madagascar

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Samia: Sera Iliyozinduliwa, Somo La Ujasiriamali Ni Lazima
Next Article Matwebe Aipongeza Serikali Kushirikisha JUMIKITA  Kwenye Shughuli Za Kitaifa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

CAG Aipongeza TARURA Kwa Ujenzi Wa Miundombinu
Habari January 9, 2026
Tuna Deni La Kusimamia Miradi Na Kusikiliza Kero za wananchi Ili Kuleta Maendeleo Ya Kweli-Salome
Habari January 9, 2026
Rais Dkt Samia Azindua Majengo Ya Kisasa
Habari January 8, 2026
TEA, UNICEF Watekeleza Miradi ya Elimu Visawani Zanzibar
Habari January 8, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?