MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Asilimia 22 Ya Vijana Wanakumbwa Magonjwa Yasiyo Ya Kuambukizwa
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Asilimia 22 Ya Vijana Wanakumbwa Magonjwa Yasiyo Ya Kuambukizwa
Habari

Asilimia 22 Ya Vijana Wanakumbwa Magonjwa Yasiyo Ya Kuambukizwa

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Danson Kaijage

DODOMA:Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Dkt. Irene Isaka ameshauri kukata bima ya afya kwa ajili ya usalama wa afya kwani asilimia 22 ya vijana wanakabiliwa na magonjwa yasiyokuwa ya kuambukiza.

Dkt. Isaka amesema hayo wakati wa mkutano na Waandishi wa Habari wenye lengo la kuelezea utekelezaji wa maendeleo kwa kipindi cha miaka minne inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan.

Amesema utafiti uliofanywa kwa kipindi cha mwaka 2021/22 umeonyesha kuwa asilimia hiyo ya vijana wana tatizo hilo ikiwemo afya ya akili.

Kutokana na hali hiyo watanzania wote wametakiwa kukata bima ya afya ya NHIF wakati wakiwa na afya badala ya kusubiri waanze kupata tatizo la kiafya jambo ambalo haliwezi kuwasaidia kwa ufasaha kama ambavyo wangekata bima wakati wakiwa na afya njema.

Akizungumzia zaidi juu ya mafanikio kwa kipindi hicho, amesema mfuko huo umefanikiwa kuimarisha mifumo ya TEHAMA inayorahisisha utendaji wenye tija.

Amesema kuwa madai ya watoa huduma za afya yanafanyika ndani ya siku 60 ikilinganishwa na siku 120 za awali kabla ya uwepo wa mifumo

Pia amesema katika kipindi hiki cha miaka minne wamesajili wamesajili wanachama milioni 2.2

Kuhusu ukusanyaji wa michango amesema umefikia Sh. Trilioni 2.3 kwa sasa kutokana na maboresho yaliyofanyika katika kipindi cha Serikali ya Awamu ya Sita.

Amesema Sh.Trilioni 2.29  zimelipwa kwa watoa huduma waliohudumia wanachama wa NHIF, na Sh. Bilioni 91 zimelipwa kwa watoa huduma waliohudumia wanachama wa NHIF ambao ni wastaafu.

Vile vile amesema wamefanikiwa kuokoa sh Bilioni 22 kutokana na usimamizi madhubuti wa mfuko wa NHIF, fedha hiyo ilikuwa inapotea kutokana na udanganyifu wa baadhi ya wanachama

Pia amesema tayari watumishi 36 wa vituo vya kutolea huduma wamechukuliwa hatua kwa kufanya udanganyifu kwenye mfuko.

Katika mafanikio hayo amesema kuwa Mfuko una ziada ya Sh. Bilioni 95 kwa sasa ikilinganishwa na kipindi cha nyuma ambapo ulikuwa na nakisi.

 

 

You Might Also Like

Ununuzi Wa Ndege Anga Za Kilimo Uanze Sasa-Bashe

Matukio Mbalimbali Katika Picha Baada Ya Waziri Mkuu Kuwasilisha Makadirio Ya Mapato Ya Bajeti

Watuhumiwa 25 Wa Makosa Ya Mtandao Wakamatwa Na Polisi

Vyombo vya Habari ni Kama Maji’ -Biteko 

Mpango Awaalika SADC Kutuma Timu ya Uangalizi wa Uchaguzi

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mazao Bora Ya Kilimo Kutoka Tanzania Yavutia China
Next Article Faru Weusi, Simba, Tembo Waongezeka Ngorongoro
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Waziri Mkuu Majaliwa Akabidhi Tuzo kwa BoT Geita
Habari September 22, 2025
BoT Yarahisisha Uuzaji wa Dhahabu kwa Wachimbaji, Yatoa Punguzo La Mrabaha
Habari September 22, 2025
Waziri Mkuu Apongeza Huduma Kidijitali za NSSF, Maonesho Ya Madini Geita
Habari September 22, 2025
Mkuu Wa Mkoa Shinyanga Asifu Kazi Ya Bodi Bima Ya Amana
Habari September 22, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?