MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Ajira kwa Vijana na Afya kwa Wazee: Ajenda Kuu za Wagombea Jimbo la Dodoma Mjini
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Ajira kwa Vijana na Afya kwa Wazee: Ajenda Kuu za Wagombea Jimbo la Dodoma Mjini
Habari

Ajira kwa Vijana na Afya kwa Wazee: Ajenda Kuu za Wagombea Jimbo la Dodoma Mjini

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Danson Kaijage
MGOMBEA Ubunge kupitia Jimbo la Dodoma Mjini, Robert Mwinje amesema atajitahidi kupambana na changamoto ya ajira kwa vijana endapo atachaguliwa kuwa mbunge.
Aidha ameahidi kutafuta fursa za ajira rasmi na zisizo rasmi kwa vijana ili kuwawezesha kujikwamua kiuchumi.
Mwinje amesema hayo wakati akijinadi kwa wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Kata ya Nala, baada ya kuulizwa na mmoja wa wajumbe, Maiko Majoya, kuhusu mikakati yake ya kusaidia vijana kupata ajira.
Katika mjadala huo, pia ametakiwa kufafanua namna atakavyoshughulikia migogoro ya ardhi, hasa ikizingatiwa kuwa baadhi ya wananchi wamekuwa wakidhulumiwa kutokana na kutokuwa na hati miliki.
Akijibu maswali hayo, Mwinje ameeleza kuwa endapo atapata ridhaa ya wananchi, atahakikisha anasimamia kikamilifu maslahi ya vijana na kuhimiza upangaji wa ardhi pamoja na utoaji wa hati miliki kwa wananchi wote ili kuzuia migogoro isiyo ya lazima.
Kwa upande mwingine mgombea ubunge Fatuma Waziri akijinadi mbele ya wajumbe wa mkutano huo, amesema iwapo atapewa nafasi hiyo, atajikita zaidi katika kuboresha huduma za afya, hususan kwa wazee na watu wenye mahitaji maalum.
Kuhusu elimu, Waziri ameeleza  anatambua juhudi za serikali kupitia sera ya elimu bure, lakini changamoto bado zipo.
Amesema ni muhimu kuendelea na mijadala ya wazi na wananchi ili kuibua njia bora zaidi za kuboresha sekta ya elimu nchini.

You Might Also Like

Polisi Kata Kupewa Pikipiki Nchi Nzima Kuimarisha Ulinzi

TARI Kihinga Yainua Kilimo Cha Michikichi Kigoma

Chinyeli Aahidi Chakula Bure kwa Wazee, Mwanyemba Kupambana Kutafuta Maendeleo

Msigwa Awataka Wakuu Wa Mikoa Kuandaa Maeneo Ya Upandaji Miti

Askofu Akemea Midoli Kuvishwa Nguo Za Ndani

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Dkt Yonaz Awaasa Watumishi Ofisi Ya Waziri Mkuu  Kuongeza Bidii Katika Kutekeleza Majukumu Yao
Next Article Chinyeli Aahidi Chakula Bure kwa Wazee, Mwanyemba Kupambana Kutafuta Maendeleo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Dkt Yonaz Awaasa Watumishi Ofisi Ya Waziri Mkuu  Kuongeza Bidii Katika Kutekeleza Majukumu Yao
Habari July 30, 2025
Wagombea Wa CCM Dodoma Mjini Waanza Kujinadi kwa Wajumbe
Habari July 30, 2025
Zabibu Ya Makutupora Nyekundu Yatajwa Kuwa Ya Kipekee Duniani
Habari July 30, 2025
Rais CWT Ni Kiongozi Aliyekuza Taaluma Kwa Moyo, Sio Cheo
Makala July 30, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?