MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Ajira kwa Vijana na Afya kwa Wazee: Ajenda Kuu za Wagombea Jimbo la Dodoma Mjini
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Ajira kwa Vijana na Afya kwa Wazee: Ajenda Kuu za Wagombea Jimbo la Dodoma Mjini
Habari

Ajira kwa Vijana na Afya kwa Wazee: Ajenda Kuu za Wagombea Jimbo la Dodoma Mjini

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Danson Kaijage
MGOMBEA Ubunge kupitia Jimbo la Dodoma Mjini, Robert Mwinje amesema atajitahidi kupambana na changamoto ya ajira kwa vijana endapo atachaguliwa kuwa mbunge.
Aidha ameahidi kutafuta fursa za ajira rasmi na zisizo rasmi kwa vijana ili kuwawezesha kujikwamua kiuchumi.
Mwinje amesema hayo wakati akijinadi kwa wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Kata ya Nala, baada ya kuulizwa na mmoja wa wajumbe, Maiko Majoya, kuhusu mikakati yake ya kusaidia vijana kupata ajira.
Katika mjadala huo, pia ametakiwa kufafanua namna atakavyoshughulikia migogoro ya ardhi, hasa ikizingatiwa kuwa baadhi ya wananchi wamekuwa wakidhulumiwa kutokana na kutokuwa na hati miliki.
Akijibu maswali hayo, Mwinje ameeleza kuwa endapo atapata ridhaa ya wananchi, atahakikisha anasimamia kikamilifu maslahi ya vijana na kuhimiza upangaji wa ardhi pamoja na utoaji wa hati miliki kwa wananchi wote ili kuzuia migogoro isiyo ya lazima.
Kwa upande mwingine mgombea ubunge Fatuma Waziri akijinadi mbele ya wajumbe wa mkutano huo, amesema iwapo atapewa nafasi hiyo, atajikita zaidi katika kuboresha huduma za afya, hususan kwa wazee na watu wenye mahitaji maalum.
Kuhusu elimu, Waziri ameeleza  anatambua juhudi za serikali kupitia sera ya elimu bure, lakini changamoto bado zipo.
Amesema ni muhimu kuendelea na mijadala ya wazi na wananchi ili kuibua njia bora zaidi za kuboresha sekta ya elimu nchini.

You Might Also Like

NSSF Yajivunia Kasi Ya Ufanisi Na Mafanikio Miaka Minne Ya Rais Samia

Matumizi Ya Baiteknolojia Nchini ni Madogo – Profesa Yanda

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Ajiandikisha Kijijijni Nandagala

Watafiti Mataifa 10 Kujadili ElimuMsingi Nchini

Sirro: Kasulu Itambue Thamani ya Uwekezaji, Itenge Maeneo Rasmi

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Dkt Yonaz Awaasa Watumishi Ofisi Ya Waziri Mkuu  Kuongeza Bidii Katika Kutekeleza Majukumu Yao
Next Article Chinyeli Aahidi Chakula Bure kwa Wazee, Mwanyemba Kupambana Kutafuta Maendeleo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Vitabu Vya Sauti Kuvutia Vijana, Serikali Yapongeza Ubunifu Wa Mkuki Na Nyota
Habari November 22, 2025
Ubora Wa E & D Vision Publishing Wamkuna Waziri Kabudi Maonyesho Ya Vitabu Dar
Habari November 22, 2025
Kabudi: Vitabu Ni Tiba, Atoa Wito Kuimarisha Maktaba, Uchapaji 
Habari November 22, 2025
Kwagila Awataka Wasimamizi Wa Elimu TAMISEMI Kuwajibika Kikamilifu
Habari November 21, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?