MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Ajali ya treni Kigoma , abiria 70 wajeruhiwa
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Ajali ya treni Kigoma , abiria 70 wajeruhiwa
Habari

Ajali ya treni Kigoma , abiria 70 wajeruhiwa

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Mwandishi Wetu

SHIRIKA la Reli Tanzania(TRC) limesema treni ya abiria namba Y14 ikiwa na kichwa Cha treni namba 9002,mabehewa 12 ya abiria,behewa Moja la vifurushi na behewa moja la breki limepata ajali kati ya stesheni ya Kazuramimba na Uvinza mkoani Kigoma na kusababisha majeruhi 70.

Kwa mujibu wa taarifa ya Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano TRC, Jamila Mbarouk ajali hiyo imetokea majira ya Saa 7:30 usiku usiku wa kuamkia leo Agosti 28,2024.

 

Amesema ajali imetokea baada ya mabehewa sita ya treni kuacha njia ambapo kati ya majeruhi 70 wanawake ni 26 na wanaume ni 44.

Amesema treni ilikuwa na jumla ya abiria 571 wakisafiri kutoka Kigoma kuelekea mikoa ya Tabora,Dodoma,Morogoro,Pwani na Dar es Salaam.

Amesema TRC kwa kushirikiana na kitengo Cha Afya Cha mkoa wa Kigoma walipeleka majeruhi katika Hospitali ya wilaya ya Uvinza Kwa ajili ya matibabu.
“Hali za afya za abiria zinaendelea kuimarika,majeruhi 57 tayari wamwruhusiwa,name wanaendelea na matibabu katika Hospitali ya Uvinza na watano wamehamishiwa Hospitali ya Maweni,” amesema.

Aidha amesema treni iliendelea na safari kuelekea mkoa wa Tabora,Dodoma,Morogoro,Pwani na Dar es Salaam.

Amesema shirika linawapa pole majeruhi na linaendelea na jitihada za kuwahudumia majeruhi na hakuna taarifa ya vifo vilivyotokana na ajali hiyo.

You Might Also Like

UDOM Yatumia Akili Mnemba Kugundua Dawa

Njaa, Mafao Ya Wakulima Vyatikisa Kampeni Za Ubunge Dodoma Mjini

Rais Samia Kuzindua Mfuko wa Mikopo Wenye Kianzio Cha Sh. Bilioni 2.3

Wanawake Taasisi za Kitafiti Watoa Furaha Kwa Waliojifungua, Madaktari, Manesi Kawe Kituo Cha Afya

CPC chatambua juhudi za Rais Samia

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Naibu Waziri Katambi aagiza CMA kutoa mafunzo kwa njia ya mtandao
Next Article OCMS Kuleta Usawa na Haki Kwa Wafanyakazi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Tume ya Kurekebisha Sheria Yaelimisha Umma Kuhusu Haki za Wanyama
Habari August 6, 2025
Bundi Wasaidia Kupambana na Panya: Teknolojia Asilia Inayobadili Maisha ya Wakulima
Habari August 6, 2025
Ofisa wa TARI Kuwapo Kila Kituo cha Umwagiliaji – Naibu Katibu Mkuu
Habari August 6, 2025
Mbinu Mpya za Kilimo kwa Vijana Zapata Umaarufu Nanenane Banda La VETA
Habari August 6, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?