MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: CHAUMMA Yataka Kuvunja Bodi ya Korosho, Kuunda Mamlaka Mpya ya Mazao ya Kimkakati
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > CHAUMMA Yataka Kuvunja Bodi ya Korosho, Kuunda Mamlaka Mpya ya Mazao ya Kimkakati
Habari

CHAUMMA Yataka Kuvunja Bodi ya Korosho, Kuunda Mamlaka Mpya ya Mazao ya Kimkakati

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Mwandishi Wetu
Mgombea urais wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) amesema atavunja Bodi ya Korosho na bodi zote ili kuunda mamlaka moja ya mazao ya kimkakati.
Mwalim amesema serikali ya CHAUMMA itawaruhusu wakulima kuuza mazao yao popote wanapotaka ili wafaidi zao lao la biashara.
“Uzeni popote mnapotaka, iwe ndani au nje ya nchi, iwe China, kwa kuwa mimi siamini katika uuzaji wa stakabadhi ghalani.”
“Tuachane na ushamba huo wa stakabadhi ghalani… yanayotokea katika korosho na mbaazi ndiyo matokeo ya CCM.”
“Korosho usipoila kama tiba, utaila kama kiburudisho… korosho si ya mtu maskini ila nawashangaa wenye korosho yao maskini,” amesema na kuongeza, korosho ni zao pekee linalouzwa kwa mnada, tena mnada wa kwanza na wa pili.
Amewataka wananchi hao wasiuze korosho yao mpaka aapishwe Novemba mwaka huu ili aweze kuipandisha bei.
Kuhusu barabara, Mwalim amesema CCM imeshindwa kujenga sasa miaka 64 imepita.
“Wananchi wakilalamikia utasikia tupo kwenye upembuzi yakinifu… habari ndiyo hizo hizo.”
“Twendeni tukamchague rais kijana, nchi zenye marais vijana wana maendeleo.”

You Might Also Like

Mwanachama Wa TALGWU Akutwa Hana Hatia

Waomba Kuondolewa Vikwazo Vya Biashara Ya Mazao Ya Kilimo Ikolojia Mipakani

TALGWU Taifa Yataja Kero Saba Kubwa za Watumishi wa Serikali za Mitaa

Uwekezaji wa TIB Wachangia Kuongezeka kwa Ajira

Matukio Mbalimbali Ya Kampeni Za CCM Dar

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mgombea Urais NCCR-Mageuzi Atoa Wito kwa Wananchi Kujitokeza Kupiga Kura
Next Article Serikali Yajizatiti Kukabiliana na Maafa – Majaliwa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mbunge Asisitiza Sheria za Majiko Safi Ili Kulinda Mazingira
Habari February 3, 2026
Mwalunenge: Bila Rasilimali Watu Na Mtaji, Mipango Ya Kilimo Haitafanikiwa
Habari February 3, 2026
Gulamali Ahoji Bungeni Changamoto ya Mawasiliano Ilongelo
Makala February 3, 2026
Serikali Yaendelea Kuimarisha Uhuru wa Mahakama – Nchimbi
Habari February 2, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?