MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Dkt. Biteko Aahidi Kuendeleza Miradi Mikubwa Bugelenga
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Dkt. Biteko Aahidi Kuendeleza Miradi Mikubwa Bugelenga
Habari

Dkt. Biteko Aahidi Kuendeleza Miradi Mikubwa Bugelenga

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Bukombe kupitia CCM, Dkt. Doto Biteko, amewapongeza wananchi wa Kata ya Bugelenga kwa kushiriki kikamilifu katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo ikiwemo barabara, shule na maji.
Ametoa pongezi hizo jatika kampeni ambako ameeleza Serikali imepeleka umeme katika vijiji vyote vya kata hiyo, na sasa wanakamilisha kupeleka umeme vitongojini.
Habari Picha 9478
Dkt. Biteko ameahidi kuwa wananchi watakaounganishiwa umeme watapewa majiko ya umeme bure ili kupunguza gharama za kupikia.
Aidha, amesema CCM ikipewa tena ridhaa, watajenga kituo cha kupoozea umeme kitakachohudumia hadi Mbogwe, pamoja na kuongeza madarasa, maabara na jengo la utawala.
Amesisitiza kuwa shule zinazohitaji ukarabati zitashughulikiwa, na wodi ya kulaza wagonjwa itajengwa Bugelenga. Pia, amewaasa wananchi kuendelea kuwasomesha watoto wao, akibainisha kuwa Serikali inalipa ada hadi kidato cha sita.
Habari Picha 9479
Mgombea huyo pia amewasihi wananchi kumpigia kura mgombea urais wa CCM, Samia Suluhu Hassan, kwa kuwa ametekeleza miradi mingi ya maendeleo katika eneo hilo. Ameeleza kuwa kipindi kijacho kitaongeza kasi ya utekelezaji wa miradi kama maji, shule na afya.
Kwa upande wake, mgombea udiwani wa kata hiyo, Donald Rubigisa, amemshukuru Dkt. Biteko kwa kusaidia daraja kubwa na kuahidi kuendelea kushirikiana na wananchi kutatua changamoto kama ukarabati wa shule, uhaba wa chumba cha kuhifadhia maiti na mawasiliano duni ya simu.

You Might Also Like

Vipima Ulevi Zaidi Ya 3000 Vyakabidhiwa Polisi Na Latra

RC Dodoma Atoa Maagizo Kwa Ma – DC Kuhusu Ukame

Mbunge Aibana Serikali Kuhusu Malipo ya Wafanyakazi wa Zamani SPM Mgololo

FCC Yatatua Kero 63  Za Walaji

NSSF Kutekeleza Mradi Wa Uwekezaji Wa Jengo La Kitega Uchumi Dodoma

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mgombea Urais CHAUMMA Asema Nchi Inahitaji Mawazo Mapya
Next Article Washauri Somo la Astronomia Kurudishwa Mashuleni, Kukuza Utalii Anga
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Serikali Yaweka Mkazo Kufufua Viwanda Musoma Ili Kuongeza Ajira
Habari April 24, 2026
Program Ya Mama Samia Ya Kurasimisha Ujuzi Yazinduliwa
Habari April 23, 2026
TEA, Wizara ya Elimu Zanzibar Kushirikiana Kuimarisha Miradi ya Elimu
Habari April 23, 2026
Bajeti Yadhihirisha Uhakika Wa Nishati Nchini
Habari April 23, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?