MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Geita Ina Dhahabu Lakini Haina Maendeleo” – Salum Mwalim
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Geita Ina Dhahabu Lakini Haina Maendeleo” – Salum Mwalim
Habari

Geita Ina Dhahabu Lakini Haina Maendeleo” – Salum Mwalim

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read

Na Mwandishi Wetu

GEITA MJINI: MGOMEA urais kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalim amesema hatima ya maisha ya Mtanzania iko mikononi mwake.

Hivyo ni kuchagua maisha yabadilike kiuchumi na kijamii au kuacha yaendelee yalivyo.

Habari Picha 9451

Mwalim ameyasema hayo Geita Mjini akiwaomba wananchi wakichague chama hicho.

Amesema Geita kama ilivyo mikoa mingine yenye dhahabu nyingi, lakini haina kielelezo chochote cha kuonyesha alama ya madini hayo.

“Ninawaomba sana, hatima ya maisha yetu ni Oktoba 29 mwaka huu, nendeni mkaichague CHAUMMA iweze kuimarisha hali nzuri za maisha yenu.”

“Maana kama mna dhahabu na samaki wengi lakini hamna viwanda vya kuchakata haina maana,” amesema.

Amesema yupo tayari kupambana na umaskini wa Watanzania, ikiwemo kuandika Katiba Mpya.

 

You Might Also Like

Waomba Kuondolewa Vikwazo Vya Biashara Ya Mazao Ya Kilimo Ikolojia Mipakani

Ridhiwan Azindua Jengo La Biashara La TUCTA-Arusha

Mtindi wa Korosho, Stafeli Wafanyiwa Utafiti UDSM

Tanzania Yazindua Mkakati wa Taifa wa Usimamizi Na Uendelevu wa Mikoko

Mfanyakazi Ana Wajibu Kupeleka Taarifa za Madai

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article EAC Iweke Ushindani Kuongeza Thamani Ya Malighafi
Next Article Mradi Wa Thamini Uzazi Salama Wakabidhiwa Vitendeakazi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Nchi za SADC Zahimizwa Kuimarisha Umoja Kukabili Changamoto
Uncategorized July 17, 2026
Wananchi Washauriwa Kutumia  Wataalam Wa Ujenzi Kuepuka Madhara
Habari July 14, 2026
July 14, 2026
Uncategorized July 14, 2026
TANESCO Kutambulisha Mfumo Wa Kufunga Nyaya Kwenye Nyumba Ukifuatilia Matumizi Ya Umeme
Habari July 13, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?